dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,603
- 60,854
tangazo hili
Wewe umeona tangazo mkuu?😂😂😂
Khakhakhaaaa!!Unatupa ujumbe gani mmama...tukupe pesa?
Nazitafuta..Sa si utafute mbona zipo tu
Sikatai😂
Mpe kidogo tuSikatai😂
Apewe nini wakati ni yeye anaetaka kunipa?Mpe kidogo tu
🤣🤣🤣🤣🤣Nipe huo mfano wa mwisho kwanza halafu utaona mchanganuo wake😂😂😂
Haiombwi hivyo
Yani umemaliza kila kitu😂😂😂KOSA PESA alafu ukose na mitiiii yani unaweza piga watoto ukauaa
Katika kupenda pesa usimsahau na Mungu
Mungu kwanza... mengine hufuata..Katika kupenda pesa usimsahau na Mungu
Sawa kabisaMungu kwanza... mengine hufuata..