Mnanisingizia mambo ya ajabu ajabu tuu.🤣🤣🤣🤣Jamaa hachagui habagui😂😂😂
AsanteeeKaribu dm nikumwagie mipesa
Yote ni ubatili mtupuNi kweli kabisa maana na mimi umenikumbusha neno hili, Chanzo Cha mabaya yote ni kupenda pesa.
Unaona sasa... halafu unasema eti unaonewa😂😂😂😂Mnanisingizia mambo ya ajabu ajabu tuu.🤣🤣🤣🤣
Aisee leo nimepata vijisenti njoo unichune basi
Sasa wanaume bila.kuchuna nyie mngeishije.....sii unaona mwenyewe ukiwa na hela unafuarahiUnaona sasa... halafu unasema eti unaonewa😂😂😂😂
Njoo buzi uchunwe😂😂
"Nani anabisha anyooshe mkono"Si inaeleweka kuwa "pesa ni kila kitu?"
Sasa jeeeSasa wanaume bila.kuchuna nyie mngeishije.....sii unaona mwenyewe ukiwa na hela unafuarahi
Mbona hutelezi ukatoka nayo Hadi chumbani 😛Walaaa kidole tu kinateleza...
😂😂😂Mbona hutelezi ukatoka nayo Hadi chumbani 😛
Napita jirani 😁😁
Unajifanyaga umekamilika sana wewe.Signs of mental illness.
Kupenda pesa ni hatari Sana!Wakuu, husika na kichwa cha uzi.
Siku hizi ninapenda pesa sanaaaa yaaani nikiikosa nahisi kuchanganyikiwa kabisa. Kama ni watoto nitawafokea kwa vitu vidogo vidogo na ninaweza nisielewane na wengine kabisa kwa sababu ya kukosa pesa..
Ila nikiipata sasa.. weweeeenakua nna mahabah hatari na kisirani na gubu vyote vinaisha.
*nimeamini kweli pesa sabuni ya roho *
Hahaha on pointUnajifanyaga umekamilika sana wewe.
Huna lolote kapuro tu.
Fresh.Unajifanyaga umekamilika sana wewe.
Huna lolote kapuro tu.