Ninapenda pesa

Ninapenda pesa

Utakuwa na michezo na marejesho mengi ya vikoba😂😂😂
Hivyo nilishaacha... nilijiunga ili nipunguze kilo na zikapungua kweli😂😂😂 nshapata kilo nizitakazo nmeachana nayo dear
 
Hakuna mtu ambaye hatamani pesa ila tu tumezidiana kwenye kutamani wapo wengine ni wa kuwango Cha high level, middle level na lower level ila kwa upande wako naona ni wa high level hii ni mbaya Sana maana Unaweza kujikuta unafanya mambo ya ovyo tu kutokana na msukumo wa kuhitaji ankara
Mbona mi napenda kawaida tu kama wengineo na sjawahi kufikiria kufanya mambo ya hovyo...

Huwa naamini kama ipo ipo tu na kama haipo basi.. japokuwa nachanganyikiwa kidogo 😂😂😂
 
Vyote vinatafutwa ... Ungekuwa bize kutafuta hela kwanza mana mimba ht Kona ya pili hapo ungeokota
Mimba haiokotwi.. inatafutwa hata pesa hivyo hivyo ....umeona vyema...


Ila kila nkitaka kutype mimba kidole kinakimbilia kwenye 'k' kimba😂😂😂😂😂😂😂
 
Mbona mi napenda kawaida tu kama wengineo na sjawahi kufikiria kufanya mambo ya hovyo...

Huwa naamini kama ipo ipo tu na kama haipo basi.. japokuwa nachanganyikiwa kidogo 😂😂😂
Huko kuchanganyikiwa ndio panapoanzia hapo hapo kuwa Makini bibie
 
Back
Top Bottom