Mental illness is real 😁Signs of mental illness.
Hata nichezee nini hainipunguzii machungu mpaka nizipate😂😂😂Labda ndio wanaita midlife crisis sijui.
Mkuu, ukikosa pesa chezea dyudyu walau stress levels zinapungua kidogo![]()
Pengine hata kubwaz huyu mzabzab anapita naoWewe tushakuzoea bwana mzee wa totoz😂
Nibaki chongo sioUtaliwa jicho
Wewe hutamani pesa?Wew hupendi pesa ila unatamaa na pesa kwanin ukikosa pesa unawafokea watoto kwani watoto ndio wamekunyima pesa mtu Kam wew sio wakumpa Dili la pesa
Sababu ukipewa Dili la pesa utaleta tamaa
Na watu wakigundua unatamaa watakua hawakupi Dili za pesa mwisho wa siku utakosa kabisa pesa
Watu kama nyinyi mnaopenda sana pesa, huwa mnakuwa ni watu poa na waelewa sana kwenye baadhi ya mambo! Yaani mara nyingi huwa hamna mambo mengi. Aisee ubarikiwe sana.Wakuu, husika na kichwa cha uzi.
Siku hizi ninapenda pesa sanaaaa yaaani nikiikosa nahisi kuchanganyikiwa kabisa. Kama ni watoto nitawafokea kwa vitu vidogo vidogo na ninaweza nisielewane na wengine kabisa kwa sababu ya kukosa pesa..
Ila nikiipata sasa.. weweeee😋😋😋 nakua nna mahabah hatari na kisirani na gubu vyote vinaisha..
*nimeamini kweli pesa sabuni ya roho *
kama unapata furaha yako kwa kupenda pesa ni vizur uzipende zaidWakuu, husika na kichwa cha uzi.
Siku hizi ninapenda pesa sanaaaa yaaani nikiikosa nahisi kuchanganyikiwa kabisa. Kama ni watoto nitawafokea kwa vitu vidogo vidogo na ninaweza nisielewane na wengine kabisa kwa sababu ya kukosa pesa..
Ila nikiipata sasa.. weweeeenakua nna mahabah hatari na kisirani na gubu vyote vinaisha..
*nimeamini kweli pesa sabuni ya roho *
Atakayemzika hamjui..!!Jamaa hachagui habagui😂😂😂
Kwa hiyo na wewe unapenda sana, au unapenda ile kawaida tu?Sidhani kama kuna mtu anachukia pesa..
Inawezekana kuna ukweli...Watu kama nyinyi mnaopenda sana pesa, huwa mnakuwa ni watu poa na waelewa sana kwenye baadhi ya mambo! Yaani mara nyingi huwa hamna mambo mengi. Aisee ubarikiwe sana.
Aminkama unapata furaha yako kwa kupenda pesa ni vizur uzipende zaid
Kwa kweli...Atakayemzika hamjui..!!
Mimi si mtu mzima mwenzako! Nafahamu.Inawezekana kuna ukweli...
Hellow friendUnatupa ujumbe gani mmama...tukupe pesa?