Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,295
Habari za Jioni wana Jamio Forums.
Kama mnavyojua sisi ni Wana familia. Licha ya kuwa tunasaidiana sana ktk mawazo, stori na Habari mbali mbali na wiwa pia kuomba msaada niweze kupata sehemu nzuri iliyochangamka niweke jiko langu la Kuuza Chips, Kuku, Mishkaki n.k.
Pia kwa kufanya hivyo natangaza na nafasi ya Kazi Kijana atakaye ifanya atoke humu humu.
Kwa hiyo kama una kijana hana kazi, ni mchapa kazi basi tuweke nguvu pamoja.
Mazingation
1. Sehemu iwe Dar
2. Isiwe gharama Kubwa maana mtaji sio mkubwa
3. Vifaa vyote muhimu vipo. Jiko la mkaa, mtungi wa gesi, Meza ya chips na Kabati lake. Friji Kubwa pia lipo.
4. Biashara iandaliwe ndani ya mwezi huu wa Mapumziko iwe rasmi kuanza mara baada ya mfungo.
Kama mnavyojua sisi ni Wana familia. Licha ya kuwa tunasaidiana sana ktk mawazo, stori na Habari mbali mbali na wiwa pia kuomba msaada niweze kupata sehemu nzuri iliyochangamka niweke jiko langu la Kuuza Chips, Kuku, Mishkaki n.k.
Pia kwa kufanya hivyo natangaza na nafasi ya Kazi Kijana atakaye ifanya atoke humu humu.
Kwa hiyo kama una kijana hana kazi, ni mchapa kazi basi tuweke nguvu pamoja.
Mazingation
1. Sehemu iwe Dar
2. Isiwe gharama Kubwa maana mtaji sio mkubwa
3. Vifaa vyote muhimu vipo. Jiko la mkaa, mtungi wa gesi, Meza ya chips na Kabati lake. Friji Kubwa pia lipo.
4. Biashara iandaliwe ndani ya mwezi huu wa Mapumziko iwe rasmi kuanza mara baada ya mfungo.