MrWings
Senior Member
- Mar 10, 2022
- 158
- 328
Mimi ni kijana wa miaka 25, katika kupambana kwangu nimepata mtaji wa milion 15 nataka nianze biashara ya duka la vifaa vya umeme.
Sasa naombeni muongozo (kupata mlango, kuagiza mzigo, maeneo mazuri ya kuchukulia mzigo Kwa dar, na location ya office za usafirishaji).
Kwa anaye jua A to Z juu ya mambo ninayotakiwa niyafate ili nifanikiwe kufungua hilo duka nipo njombe mjini.
Sasa naombeni muongozo (kupata mlango, kuagiza mzigo, maeneo mazuri ya kuchukulia mzigo Kwa dar, na location ya office za usafirishaji).
Kwa anaye jua A to Z juu ya mambo ninayotakiwa niyafate ili nifanikiwe kufungua hilo duka nipo njombe mjini.