Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 634
Habari wana JF,
Kama kichwa cha tangazo kinavyosema, nahiuhitaji wa vifaa mbalimbali kwa ajil8 ya biashara ya chips(viazi). Vifaa hivyo ni kama jiko liwe la rimu au maranda, kabati ya aluminium, meza ya kabati, na karai.
Nipo Dar es Salaam, nichek kama unavyo vifaa hivyo
Kama kichwa cha tangazo kinavyosema, nahiuhitaji wa vifaa mbalimbali kwa ajil8 ya biashara ya chips(viazi). Vifaa hivyo ni kama jiko liwe la rimu au maranda, kabati ya aluminium, meza ya kabati, na karai.
Nipo Dar es Salaam, nichek kama unavyo vifaa hivyo