chips

CHiPs is an American crime drama television series created by Rick Rosner, that originally aired on NBC from September 15, 1977, to May 1, 1983. It follows the lives of two motorcycle officers of the California Highway Patrol (CHP). The series ran for 139 episodes over six seasons, plus one reunion television film in October 1998.

View More On Wikipedia.org
  1. Ubungo Mataa

    Natafuta kijana mtaalamu wa kukaanga chips

    Heshima mbele wakuu. Kijana mtaalam wa kutengeneza na kuandaa kuku choma na kukaanga kuku, broiler, sekela, na Aina zingine za kuku. Pia mwenye utaalamu mkubwa wa kuandaa na kutengeneza chips Kali, nzuri. Muda wa kazi kuanzia mchana hadi usiku (kama bado unajitafuta kuna geto la kizushi...
  2. Red black

    Wanaume wenzangu fanyeni mazoezi acheni kula chips yai

    Niajee wakuu, Mazoezi ni muhimu sana. Shauri yenu!!! Mwanaume ata kupiga push ups 10 huwezi, kukimbia nayo huwezi, ata kutembea mdogo mdogo km ½ nayo huwezi. Achaneni na chips yai wazee pigeni tiz(mazoezi ya viungo). Hivyo vitambi waachieni wake zenu. Mazoezi kwa afya bora.
  3. B

    Nina Vifaa vya Kufanyia Biashara ya Chips. Nahitaji Connection ya Location ya Uhakika Hapo Dar

    Habari za Jioni wana Jamio Forums. Kama mnavyojua sisi ni Wana familia. Licha ya kuwa tunasaidiana sana ktk mawazo, stori na Habari mbali mbali na wiwa pia kuomba msaada niweze kupata sehemu nzuri iliyochangamka niweke jiko langu la Kuuza Chips, Kuku, Mishkaki n.k. Pia kwa kufanya hivyo...
  4. Sexer

    Microwave oven vs Airfryer ipi Bora kwa kuchoma nyama, kukaanga chips na kupasha chakula

    Wakuu, Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula? Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?
  5. Mto Songwe

    U.S-CHINA Tech War: Baada ya kuvuka vikwazo vya 7nm,5nm SMIC sasa kuja na Chips za 3nm

    Hawa wachina wanafanya fanya fanya vipi kuvikwepa hivi vikwazo vya kiteknolojia upande wa semiconductor ? Hii teknolojia sio nyepesi nyepesi au kuna kanjanja wanafanya au walijiandaa ? Au ni uwekezaji tu na maarifa waliyo nayo ? Blacklisted Chinese chipmaker SMIC is working on 3nm process...
  6. Mto Songwe

    Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

    Inahuzunisha sana kuona kazi wafanyazo watoto waliosomeshwa kwa gharama wakiwa bodaboda na wachoma chips. Mzazi kugharamia masomo ya mwanao ili aje kuwa mpambaniaji wa kazi hizo na za namna hiyo au kutokuja kuwa na future yoyote mtaani inaleta huzuni kwa mtoto mwenyewe hata kwa mzazi pia...
  7. Heparin

    KWELI Chips ni chakula kisicho na faida kubwa kwa afya ya binadamu pia ni chanzo cha Magonjwa

    Chips ni chakula kinachotengenezwa kutoka kwenye viazi. Chakula hiki kimekuwa kinahusishwa na matatizo mengi ya kiafya ikiwemo magonjwa ya moyo. Wataalam, tusaidieni ni kipi hasa kinachofanya chips iwe mbaya kiasi cha kuhusishwa na mambo mabaya.
  8. Strong and Fearless

    Wanaume punguzeni chips mayai

    Inashangaza sana siku hizi kuona wanaume wengi (sio wote) wanakula sana chips mayai. Hii inapelekea wanakuwa wavivu, uwezo wao wa kufikiri unakuwa mdogo, hawajitumi, tena kitandani ndio performance zero kabisa. Mwanaume inabidi ule ugali wa dona na sio chips mayai, jamani.
  9. TPP

    Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

    The Chinese government has told operators of important infrastructure in the country to stop buying products from the US chipmaker Micron Technology. Its products carry “serious network security risks” that pose hazards to China’s information infrastructure and affect national security, the...
  10. itoko jr

    Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

    Habarini wanaJF wenzangu, I hope mko gud that's fine. Oh yeah! Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah...
  11. Ben Zen Tarot

    Fahamu madhara ya kula chips sana

    Chips zege (mchanganyiko wa viazi na mayai ya kisasa) Miongoni mwa Chakula kinachopendwa sana katika jamii yetu ni Chips, ambapo miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. Pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu sana. Hiki ni chakula chenye mafuta mengi na...
  12. hp4510

    Kijana mtaalam wa mambo ya chips na kuku anahitajika

    Kijana mtaalam wa kutengeneza na kuandaa kuku choma, lemon, sekela, na Aina zingine za kuku, Pia mwenye utaalamu mkubwa wa kuandaa na kutengeneza chips Kali, mzuri, Na kuandaa Yale makorombwezo masalad, makachumbari, ma ukwaju pilipili and mambo kama hayo Mtu mwenye rafiki au ndugu au kama...
  13. P

    Biashara ya chips Morogoro Mjini

    Mimi ni kijana nliehitim chuo mwaka huu nmeamua nijiajiri kuuza chips biashara hii nataka nikaifanyie Morogoro coz maisha yangu nataka nikaishi huko. Naomben USHAURI kwa wazoefu na wenyeji wa mkoa wa Morogoro MJINI wanishauri chimbo linalo faa na kuchangamka
  14. Lycaon pictus

    Chips zina nguvu kuliko ugali

    Imezoeleka kudhani kuwa ugali ni chakula chenye nguvu sana. Lakini ukweli ni kuwa ugali ni moja ya chakula dhaifu sana duniani. Nguvu ya chakula hupimwa kwa calories. Sasa, 100g za chips zina kilo calories(Kcal) 350. Wakati grams 100 za ugali zina kilocalories 210. Lakini hapa pia inategemea...
  15. Bridger

    UZUSHI Ulaji wa Chips husababisha ugonjwa wa Macho

    Chips ni chakula maarufu sana kinachotumiwa na watu wengi, hasa vijana. Baadhi ya watu huamini kuwa chakula hiki husababisha ugonjwa wa macho hasa kutoa machozi, maumivu ya mishipa ya macho pamoja na upofu. Je, kuna ukweli wowote kuhusu madai haya?
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je unapenda chips? Mjue George Speck mgunduzi wa chips

    UNAAMBIWA: Chips za viazi zilianza kutengenezwa rasmi Mwaka 1853 baada ya Mmarekani mweusi George Speck maarufu Crum (Mpishi) kupata hasira kisa Wateja wake kumlaumu kuwa anawawekea viazi vyenye mapande makubwamakubwa. Alipoona Wateja wanamkera akaamua kuwakomoa kwa kukata vipande vidogovidogo...
  17. BARD AI

    Sele Bonge akamatwa kwa wizi wa TV na gari

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limemkamata Seleman Kalembo, maarufu kama Sele Bonge na wenzake 9 kwa tuhuma za wizi na kuwakuta wakiwa na gari aina ya Noah vifaa mbalimbali vya kuvunjia nyumba, TV nne pamoja na mfuko wa kufichia TV baada ya kuiba. Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda...
  18. Mr. JF

    Chips Zege ya Clouds

    Imagine zama hizi ambazo dunia nzima inapambana na magonjwa yasiyoambukiza (Non Communicable Diseases) yakiwemo Magonjwa ya Moyo, Sukari, Cancers etc, ni nyakati ambazo dunia nzima inasisitiza kuepuka vyakula vyenye viashiria vya visababishi vya Magonjwa haya (kwa mfano kuepuka vyakula...
  19. DGOMBUSI

    Msaada wa kupata IC CHIPS Drive kariakoo

    wana jukwa za asubuhi poleni na kazi naomba msaada wa kufahamu duka wanalouza vifa vya ecltronic ic chip kariakoo Natafuta IC CHIPS hizi
Back
Top Bottom