Nina mashaka na afya ya akili ya Mrisho Gambo

Nina mashaka na afya ya akili ya Mrisho Gambo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili

Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu

Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Yaani watu mnajaza mafuta kwenye v8 na Kaunda suti zenu mnaenda kuzindua daraja la mabanzi mawili
markup_1000141804.png
1747242923815.jpg
 
Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili

Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu

Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
View attachment 3333920View attachment 3333921
Kama kweli alikua serious kupost hiki alichopost basi huyu jamaa hafai kuwa mbunge kwa maana ako na test ndogo sana ya mafanikio.
 
Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili

Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu

Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Si yuko Dodoma?
Hospitali si iko hapohapo wanangoja nini kumkamata na kumpeleka kwenye matibabu kabla hajadhuru watu?
 
Back
Top Bottom