Nina mashaka na afya ya akili ya Mrisho Gambo

Nina mashaka na afya ya akili ya Mrisho Gambo

Sasa kama miradi mingine yote amejimilikisha makonda mlitaka afanyeje.....! Big up Gambo, wewe ni mtu na nusu 🤣🤣🤣🤣
 
Kuna kitu huwa najiuliza hivi mtu ambaye hana afya hiyo kama Mgambo , anaitwa mwenye upungufu au ukosefu wa afya ya akili ?
 
Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili

Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu

Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
View attachment 3333920View attachment 3333921
🤣🤣🤣😂Nadhani hizo rangi za Chama sio.🤣🤣

Unaweza kuta pia ni shabiki wa timu ile ya mpira yenye rangi kama chama chake ambayo kila ikienda KASI inapigwa pini.😎😎
 
Tusiwe wepesi wa kuhukumu, unahisi Gambo ni mpumbavu wa kwenda kuzindua au kunadi daraja la aina hiyo? Lets dig and gets the fact kwanza, hiyo awamu ya kwanza inayozungumziwa ni ipi tafadhali?
Hiyo kazi uifanye wewe.Sisi tunamfuatia dawa za matibabu muheshimiwa M.Gambo.Utatujuza basi ili tumpe dawa kwa kijiko au anywe tu tembe zake.
 
Back
Top Bottom