Hakuna aliye salamaKila mtu ana matatizo ya akili, ni suala la muda tuu.
Gambo muda wake ndo sasa.
Sawa.Hiyo kazi uifanye wewe.Sisi tunamfuatia dawa za matibabu muheshimiwa M.Gambo.Utatujuza basi ili tumpe dawa kwa kijiko au anywe tu tembe zake.
Japo simjui ila kama yupo ccm atakua tahira kabisa🤔Uchizi wa Gambo hakuna wa kuufikia
😀😀😀Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili
Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu
Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Yaani watu mnajaza mafuta kwenye v8 na Kaunda suti zenu mnaenda kuzindua daraja la mabanzi mawili
View attachment 3333920View attachment 3333921
Ukisikia watu wa Arusha wakiongea utadhani wana akili kumbe huyu ndiyo mbunge wao..hakika safari hii wamekamatikaNimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili
Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu
Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Yaani watu mnajaza mafuta kwenye v8 na Kaunda suti zenu mnaenda kuzindua daraja la mabanzi mawili
View attachment 3333920View attachment 3333921
Hata Mimi nilikuwa nawaza haya huu ni ushirikinaMganga wake kamuuzia tikitimaji kwenye gunia... Ila naamini kuna ujumbe anataka kutuma sema ni kama kapulizwa 😁
Timu KONDA mmeshaanza kutumia AI (Artificial Intelligent) kumchafua Gambo kama mlivyomchafua Gwaji Boy akiwa Lodge na mtoto Mrembo.Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili
Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu
Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Yaani watu mnajaza mafuta kwenye v8 na Kaunda suti zenu mnaenda kuzindua daraja la mabanzi mawili
View attachment 3333920
Kweli kaka, watu hawatafuti taarifa sahihi.Tusiwe wepesi wa kuhukumu, unahisi Gambo ni mpumbavu wa kwenda kuzindua au kunadi daraja la aina hiyo? Lets dig and gets the fact kwanza, hiyo awamu ya kwanza inayozungumziwa ni ipi tafadhali?
Kwa kweli hii ni futuhiAmeona Hana chake chugga Bora awafanyie futuhi
Waigizaji wametiwa posho halafu wakatae kwenda kucheza sinema?Hapo wa kumshangaa sio Gambo bali hao waliojumuika na Gambo hadi kupiga na picha za uzinduzi...😃
Khakhakhaaa
Huku G naona ana Jambo lake hapo si bureeHapo wa kumshangaa sio Gambo bali hao waliojumuika na Gambo hadi kupiga na picha za uzinduzi...😃