Okoa nyumba
Member
- Aug 30, 2023
- 30
- 17
Anguko, anguko,!!!!!!!!!
Gambo nimemuelewa. Sidhani kama nia yake ni kuzindua. Anayo ajenda nyuma ya pazia.Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili
Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu
Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Yaani watu mnajaza mafuta kwenye v8 na Kaunda suti zenu mnaenda kuzindua daraja la mabanzi mawili
View attachment 3333920View attachment 3333921
Akamatwe haraka apelekwe milembe.Nimeshangaa Mbunge wa Arusha kuzindua daraja lenye mabanzi mawili
Yaani ameenda ni timu ya viongozi kutoka CCM kufanya mzaha na upumbavu kama huu
Hilo daraja kulitengeza haizidi elfu 20 za Kitanzania
Yaani watu mnajaza mafuta kwenye v8 na Kaunda suti zenu mnaenda kuzindua daraja la mabanzi mawili
View attachment 3333920View attachment 3333921
Ulozi kama uloziTegemea vituko zaidi kwa wanasiasa nyakati hizi za kutafuta ulaji wa miaka mitano ijayo
Hakika huyu Mama anaupiga mwingi ile mbayaTrillion 43
Shukrani Kwa mama