Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

poleee sana mkuu..., ila attitude yako nimeipenda.

kwamba umemnyoosha tu then hamna kufuatilia. ingekuwa mimi siku hiyo ningemfuatilia nijue kulikoni, nianze na huyo jamaa then mke, ningejikuta naona yasiyosameheka au nikaishia kifungoni.

Nakushauri, we kamwongeze keleb zake then ongeza umakini kidogo, ila chonde chonde usije ukafuatilia wala kwenda kupima dna za watoto
KORBOTO umetema madini sema hili la kufuatilia naweza ua
 
"....ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka"

Hapo yenyewe lazima hata mimi ningejua anamvalia mtu mwingine...
 
Ali
Ha ha ha ha ushapewa sasa au bado
Alinipa nikatandika ila niliumia baada ya dharau kuzidi kwa mumewe nikamwambia kama hatomuheshimu mumewe basi kwani alifanya kulipiza.sikuenda dharau zake kwa Mme wake. Toka kipindi hicho Niko mbali na wake za watu
 
Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Hongera mkuu Kwa kuilinda ndoa yako maana kuna wakati inakubidi uonyeshe wewe ni kichwa cha familia
 
Zichukue hizo shanga ulizokata na ziunge then mueleze hofu yako
 
Hiyo kauli ni mbaya sana na inaulakini mkubwa sana..

"ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka"

Kwa maana hiyo anadhihirisha kwamba kuna mtu au watu anawavalia na kuenda kuwaonesha...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom