Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Ningekuwa mimi baada ya kuzikata na kumpa kelbu,ningemalizia na mgegedo wa haja mpakw aombe pooo halafu nione
IMG-20170705-WA0028.jpg
 
Sasa hapo umetib ugonjwa m1,bado mwingne,..ya kwamba,huyo kashaliwa,na umeshalitambua hilo,sasa unachkua hatua gan.au umetib jip kwa juu tuu,..?
Subiri mrejesho wa ni vp nimemaliza tatizo
 
Na
Pole mwanamke mwenzangu kwa kupigwa, najua baada ya muda mpenda shanga nyingi atakununulia nyingine na kukupa rungu la kipepe usahau maumivu......
[HASHTAG]#hatushindwii[/HASHTAG]
Cc espy
Na kweliii hamshindwi yupo Mke wa mtu tulikuwa na mazoea ya Dada na kaka sasa jamaa kamind anasema napiga mzigo nikambia sio kweli Mke wake alipokuja kusikia akanambia pamoja na kwamba hakuwa na lengo hilo atanipa mzigo na mmewe yupo na ndivyo ilivyotokea wanawake ni konyooo kabisa
 
Inawezekana, shanga rundo alipewa na Sangoma ila wewe ukadhani kuwa ni za kwenda kugegedwa.

Any way, mwanamke hachungwi bali hujitunza mwenyewe.
Na milki ya papuchi ni yake! Akisuguliwa kasuguliwa yeye!
Mchungeni tembo maana washenzi watang'oa vipusa, hizi papuchi waacheni wakunwe miwasho.
Mnatoa mimacho kwani wanaenda kuolewa?

Wewe kidume hakikisha kila mtaa una mtoto!! Mnalialia nini!
 
Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
 

Attachments

  • FB_IMG_1495344414703.jpg
    FB_IMG_1495344414703.jpg
    33.7 KB · Views: 59
Na

Na kweliii hamshindwi yupo Mke wa mtu tulikuwa na mazoea ya Dada na kaka sasa jamaa kamind anasema napiga mzigo nikambia sio kweli Mke wake alipokuja kusikia akanambia pamoja na kwamba hakuwa na lengo hilo atanipa mzigo na mmewe yupo na ndivyo ilivyotokea wanawake ni konyooo kabisa
Ha ha ha ha ushapewa sasa au bado
 
Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Aisee pole sana..
 
Dah, umemuwahi sana, usingempiga kwanza, ungemnyatia mpaka anapoenda kuingia halafu huko sasa ndio umtie kisu cha koromeo kabisa.. Shenz zake.
Punguza jazba ndugu hawa viumbe yapaswa kuishi nao kwa akili sasa ukiamua kufanya kama unavyotaka si utawaua wengi .
 
Back
Top Bottom