Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Dah kweli kazi tunayo wanaume. Unakuta mkeo ana "vifuniko vya asali" vya kutosha na vya aina anuai, ila kuna vile common anavyotumia nyumbani yaani day - in - day out anavyo hadi vinapauka kama vinafuliwa maji ya chokaa vile..

Ajabu yake akiwa anatoka au ana safari basi atatafuta kifuniko kipya asichovaa marar kwa mara tena zile aina za Hatari-hatari ambazo hata husband ukiziona tu "zinaamsha dude" sasa sijui nani anavaliwa au ndio huko kwenye kitchen party mnaagizwa hivyo? au ndio....... au niiii........ Dah yaani mnatuacha na yaani yaani kibao..
 
Dah, umemuwahi sana, usingempiga kwanza, ungemnyatia mpaka anapoenda kuingia halafu huko sasa ndio umtie kisu cha koromeo kabisa.. Shenz zake.
Hapo hajasolve tatizo,kazuia tu asigongwe kwa siku hiyo lakini siku nyingine papuchi atakagawa tu kwa mchepuko wake.huyo mwanamke anachepuka
 
Mtoa mada nakupongeza sana kwa maamuzi uliyochukua ila hujatibu tatizo. Kama ulizikata kwa kuhisi kuwa kuna mtu mwingine anavaliwa hizo shanga basi endelea na uchunguzi utagundua mengi sana Zaidi ya hizo shanga. Pole sana ila tibu tatizo shanga ni matokea tu ya tatizo.

Ushauri tu wa kiutu uzima: Nakushauri umwite umwambie ukweli na umwambie aache mara moja tabia ya kutoka nje ya ndoa na pia umweleze kuwa kama anaona huyo mtu ni muhimu bora aombe talaka akaishi nae kuliko kukudanganya. Mwambie unajua kipi anafanya na umemfuatilia muda mrefu sana. Mweleze akupe msimamo wake kabla ujaenda hatua za mbele Zaidi kuhusu ndoa yenu na pia endelea kumchunguza utaona anajistukia sana pia piga marufuku safari zisizo rasmi kwa mkeo pia awe anakupa taarifa anaenda wapi na kufanya nini na siku akienda sehemu bila ruhusa kerbu mbili tatu zihusike ili ajue anacheza na timu gani. Ndoa zina mitihani sana haswa unapokuta mmoja wa wanandoa si mwaminifu. Pambana uokoe ndoa yako kwa kurekebisha matatizo mapema kabla mambo hayajaharibika
 
Mtoa mada nakupongeza sana kwa maamuzi uliyochukua ila hujatibu tatizo. Kama ulizikata kwa kuhisi kuwa kuna mtu mwingine anavaliwa hizo shanga basi endelea na uchunguzi utagundua mengi sana Zaidi ya hizo shanga. Pole sana ila tibu tatizo shanga ni matokea tu ya tatizo
Uchunguzi bado unaendelea mkuu aksante sana
 
Back
Top Bottom