Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Kati ya Ndoa Nne Tatu zina KIVUMBI and still.people are getting married.
Kama mtu akikuuliza kuwa katika mashindano ya magari kwa kila gari nne Tatu zinapata ajali. Sidhani kama ungejaribu hayo mashindano
 
Pole mwanamke mwenzangu kwa kupigwa, najua baada ya muda mpenda shanga nyingi atakununulia nyingine na kukupa rungu la kipepe usahau maumivu......
[HASHTAG]#hatushindwii[/HASHTAG]
Cc espy
Hahahaaaa!!!
 
Kati ya Ndoa Nne Tatu zina KIVUMBI and still.people are getting married.
Kama mtu akikuuliza kuwa katika mashindano ya magari kwa kila gari nne Tatu zinapata ajali. Sidhani kama ungejaribu hayo mashindano
Kwahiyo watu wasioane?!
Acha kuleta riwaya hapa toa maoni ya kiushauri
 
Muda mwingine lazima maamuzi magumu yachukuliwe, kelebu kalaza papuchi ndani..!!

Angekua mvulana, angekuja kuomba ushauri mke wangu anavaa shanga wakati anatoka, nifanyaje.!!!!
Mkuu eti " kelebu kalaza papuchi ndani" hatari sana angeenda kudumbukizwa vidudu vyeupe naww ungekuja kufofonfya uchafu any way safi sana mkuu
 
Kati ya Ndoa Nne Tatu zina KIVUMBI and still.people are getting married.
Kama mtu akikuuliza kuwa katika mashindano ya magari kwa kila gari nne Tatu zinapata ajali. Sidhani kama ungejaribu hayo mashindano
Kweli isiyo na kivuli
 
Pole mwanamke mwenzangu kwa kupigwa, najua baada ya muda mpenda shanga nyingi atakununulia nyingine na kukupa rungu la kipepe usahau maumivu......
[HASHTAG]#hatushindwii[/HASHTAG]
Cc espy
hahahaaa ilo rungu la kipepe ni nini jamani
 
poleee sana mkuu..., ila attitude yako nimeipenda.

kwamba umemnyoosha tu then hamna kufuatilia. ingekuwa mimi siku hiyo ningemfuatilia nijue kulikoni, nianze na huyo jamaa then mke, ningejikuta naona yasiyosameheka au nikaishia kifungoni.

Nakushauri, we kamwongeze keleb zake then ongeza umakini kidogo, ila chonde chonde usije ukafuatilia wala kwenda kupima dna za watoto
 
hapo mkuu ulikiwa unagongewa kama kawaida.. Hizo shanga kuna mtu anavaliwa kabisa haiwezekani kwako mume avae mbili ila akitoka tu anavaa hizo nyingi hili aliniingii akilini kabisa hiyo anayotokaga ni team kwenda kugegeda kabisa
 
Back
Top Bottom