Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Ulimwonea mbona kuna nguo za kushindia nyumbani na nguo za safari
 
Hongera kwa kufanikiwa kuahirisha safari yake
 
Mi mke wangu zamani alikuwa ananivalia sana shanga na Mimi huwa nazikata na kuzitupa. Amekoma na havai tena hizo shanga, huwa hanibishii kwa vile ananijua, mi sio wa kubishana nae
 
Dah ndio ukute jamaa kajiandaa kabisa nahotel kalipia mara anaona ziiiiii
 
Maisha ya ndoa wanaume yanatuondoa duniani mapema sana na kuwaacha wanawake wakifurahia maisha...
 
Yani huu Uzi, asilimia90% wanaume walichangia wamefurahi mnoo alivyompiga kelebu, mm anipige asinipige ni lazima ningetoka, kila Siku kibamia tuu AAA Mara moja moja si mby
Kibamia kinatokana nawewe kuwa nabwawa badala yakisima
 
kwa kelb hyo nadhani ata kumbukumbu za alikokua anaenda zilipotea ghafla..na hyo ndio dawa yao cjui wanafikiriaga ndoa ni darasani kila mara wanafanya test
 
Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Mkuu ndoa yako ina matatizo zaidi ya hilo zigo la shanga
Mkeo ni mchepukaji
Mkeo hajui wewe ndio
kichwa cha familia unaye-
paswa kuhashimiwa
Mkeo ana mpango wa
kukupanda kichwani
Wewe pia huwajibiki kufuatilia
nyendo za mkeo unakuwa
busy kuchati. Pia jifunze
kufahamu kama mkeo anaridhika na mapenzi yako
KUWA MTU USIYETABIRIKA NA MWENYE TABIA ZISIZOZOELEKA AKAKUKARI

Nimeicheki mkuu usijali nitakucheki pia tupo pamoja
 
Back
Top Bottom