Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Safi mkuu! Kipigo hiyo ni factory reset akileta ujinga tena unafanya hard reset kabisa ili asitoke chumbani kama week hivi
 
Ingekuwa mimi ingebidi anipeleke kabisa kwa huyo anayemvalia tukafahamiane,si kwa ubaya lakini,ni kutaka tu kufahamiana na stakeholder mwenzangu
 
Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Hakika huyo ni mchepukaji mzuri! Wanawake wachepukaji hujisikia fahari kumvalia mtu wa nje anae mgegeda! Kuna mke wa mtu nilikuwa namgegeda aliniuliza wewe unapenda wanawake wakivaa shanga? Nikamwambia naam napenda sana! Akasema basi nitanunua nitakuwa navaa Nikija kwako tu na mime wangu sitaki ajue!
 
Hakika huyo ni mchepukaji mzuri! Wanawake wachepukaji hujisikia fahari kumvalia mtu wa nje anae mgegeda! Kuna mke wa mtu nilikuwa namgegeda aliniuliza wewe unapenda wanawake wakivaa shanga? Nikamwambia naam napenda sana! Akasema basi nitanunua nitakuwa navaa Nikija kwako tu na mime wangu sitaki ajue!
Mashaka ya makubwa haya
 
Pole mwanamke mwenzangu kwa kupigwa, najua baada ya muda mpenda shanga nyingi atakununulia nyingine na kukupa rungu la kipepe usahau maumivu......
[HASHTAG]#hatushindwii[/HASHTAG]
Cc espy
Nyooooohhh!!!? Kina mama mnakalia uasherati tu. Sasa mnaolewa kwa lengo gani?
 
Nimeisoma post nimejukuta napata Ghadhabu Mchenjuo..wanaufhi sana hawa viumbe somtimes ukiangalia vizuri hapo kuna dharau na pia mke wako analiwa mambo na fala tu huko nje.....Ghadhabu Mchenjuo zinanipanda sanaaa tena sanaa
 
Nanyi si mtulie na wake zenu,
Mimi nimetulia na sina habari na wa nje. Ukinistua kwa kimini chako ulichovaa, hasira zangu naenda kumalizia kwa bibie, mai waif, hubby, mailav, ubavu wangu wa pili, niliemtolea mapesa nyumbani. Sizubaiki na vya watu mimi, nimetosheka. Akkkah!!!!
Nawaacha wale kutwa kiguu na njia, Mara chomeka yule, mara huyu. Shimo lenyewe halijai.
 
Mimi nimetulia na sina habari na wa nje. Ukinistua kwa kimini chako ulichovaa, hasira zangu naenda kumalizia kwa bibie, mai waif, hubby, mailav, ubavu wangu wa pili, niliemtolea mapesa nyumbani. Sizubaiki na vya watu mimi, nimetosheka. Akkkah!!!!
Nawaacha wale kutwa kiguu na njia, Mara chomeka yule, mara huyu. Shimo lenyewe halijai.
Una wife na una hubby.... Shkamoo asee
 
Back
Top Bottom