

Endelea kumpa kichwa huyo mwanamke lakin ujue mumewe ndo ameanza kumfanyia upelelezi sasa matokeo yake ndo yale unasikia mke kapigwa shaba ama kisu ama unachomwa moto ukiwa haiPole mwanamke mwenzangu kwa kupigwa, najua baada ya muda mpenda shanga nyingi atakununulia nyingine na kukupa rungu la kipepe usahau maumivu......
[HASHTAG]#hatushindwii[/HASHTAG]
Cc espy
Akiuwawa apumzike kwa amaniEndelea kumpa kichwa huyo mwanamke lakin ujue mumewe ndo ameanza kumfanyia upelelezi sasa matokeo yake ndo yale unasikia mke kapigwa shaba ama kisu ama unachomwa moto ukiwa hai
halafu mkisikia kwenye habari hata wewe utakua mmoja wao wa kusema apumzike kwa amani huku ukimsikitikia na kumlaumu kwamba angetulia na mumewe
ameshaelewa bila kumuungia shangaZichukue hizo shanga ulizokata na ziunge then mueleze hofu yako
Zichukue hizo shanga ulizokata na ziunge then mueleze hofu yako
hakuna jingine sema ameingia unyagoni kwa mara nyingine tenaHiyo kauli ni mbaya sana na inaulakini mkubwa sana..
"ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka"
Kwa maana hiyo anadhihirisha kwamba kuna mtu au watu anawavalia na kuenda kuwaonesha...
Cc: mahondaw
furaha ataipata wapi na mzigo haukufika eneo la tukioHuyo aliekua anamfata mabwepande atakua amekasirika sana![]()
Tupo pamoja mkuu, nasapoti kuwapiga factory reset hawa!kuna siku nilisema humu hawa bila makofi hawaelewi
nipo upande wa mtoa mada
Aisee agiza mguu wa mbuzi popote ulipo ntalipia!Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,
Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi
Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa
Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti
Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Hawaridhikagi, tamaa tuDah..... Nyoco sana hawa... Hapo ukute Unamgonga vizuri na unamlipia bili zote..![]()
![]()
shukrani mkuu nitakutupia no ya tigo pesa ya muuza nyama muda si mrefuAisee agiza mguu wa mbuzi popote ulipo ntalipia!
Hii ndio tunaita maamuzi ya kiume!!! Big up sana, harudii tena huyo!
ndio alishafika mabegani bado hatua moja kichwaniHahah!
umempa kelbu moja mimechekaaa!
Hongera sana aisee make hawa viumbe ukiwa mkimya sana,anakuona zoba,hapo ukute alikuwa anaenda kugegedwa na wapenda shanga nyingiiii!