The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 609
- 1,574
Mkuu umekuwa mwana mikakati ya Ccm pamoja na KingMaker aka The Ring leader OG na hauaminiki tena kwa mujibu wa vijiwe vyote vya Lumumba,Mtumba na Magogoni sijui utapost nini uaminike tena sijui kabisa ila leo Swalaa ya jioni nimeswali kwa Mwana Mtoro hauna jipya unatumika kuwapiga Spinning wana Tanganyika hata Wazee wa Pwani hawapendezwi nazo bora ukae kimya tu Bro.