Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,719
- 55,339
Nadhani hujaelewa vizuri kauli hiyoNyie nanyi mnajidanganya. Hamuwezi zuia uchaguzi.Kwa jinsi mlivyo waoga.
Nadhani hujaelewa vizuri kauli hiyoNyie nanyi mnajidanganya. Hamuwezi zuia uchaguzi.Kwa jinsi mlivyo waoga.
Bao la Senegal limefungwa na Ndanda Kosovo dakika ya 215.Senegal 1 Nigeria 0
tofautisha umri wa makamba na lowasaKikwete ni Rafiki wa Baba January hivyo anaweza fanikisha kushauri January asihame.By the way alihama Lowassa hata na akarudi.Hata January anaweza kuhama na akipata ubunge 2030 anarudi CCM ili agombee urais.🤣
Umetisha mazeeKwa mtazomo wangu:
Huyu ni January bila shaka ndio anaongelewa kutimka CCM.
Kaka=January
Baba= Mzee Makamba
Muandika Majina=JK
Vita ya Kagera= Uchaguzi Mkuu.
Dada!!?Kwa mtazomo wangu:
Huyu ni January bila shaka ndio anaongelewa kutimka CCM.
Kaka=January
Baba= Mzee Makamba
Muandika Majina=JK
Vita ya Kagera= Uchaguzi Mkuu.
Dada wa January.Dada!!?
Dada Melo hatunaye hapa, tunapambana na hali zetuHivi mtu unaogopa nini kwenda straight na kutaja majina halafu ukizingatia ni tetesi na unatumia fake ID
Kweli CCM watatawala milele.Kama tuna fake ID na still tunaogopa.Mweh
😂😂🙌🙌🙌Bao la Senegal limefungwa na Ndanda Kosovo dakika ya 215.
Hivi mtu unaogopa nini kwenda straight na kutaja majina halafu ukizingatia ni tetesi na unatumia fake ID
Kweli CCM watatawala milele.Kama tuna fake ID na still tunaogopa.Mweh
NI BORA KULA NGURUWE KULIKO KUCHAGUA MUISLAMU KUWA KIONGOZIDada mtu kaitwa kwa Bwana mkubwa muandika Majina ya waenda vita ya kagera hapo pembeni baada ya kusikia Kaka na Baba wana afiki kabisa Jamaa kutua kwenye usajili Mpya !
Kuna taarifa kwamba atahakikisha anakinukisha japo naye ananuka
Kesho Saa tano Mpaka kumi kwaweza kuwapo Breaking Nyuziiii akiwa na waandishi wa Habari
Note that: si kila Tetesi lazima ipite au ikamilishwe, bwana mkubwa Anaweza akamshawishi Jamaa akabaki maana Muandika Majina ya Kwenda vita ya kagera ni rafiki sana na baba Mauzi
Britanicca
Halaka halaka kanong'ona wanataka tuzubae...tusijue lao moja na mleta mada.Kuna taarifa kwamba atahakikisha anakinukisha japo naye ananuka
Mwanzoni hata mimi niliwaza ni Mama wa Kizimkazi, ila nadhani sio yeye bali ni Dada wa January kwasababu ndio anaweza kuitwa kwenda kwa Mzee wa Msoga lakini sio Mama wa Kizimkazi kwasababu protokali inakataa Mama Kuitwa bali yeye ndio anaweza kuita mtu.Vicky vode zipo wazi kabisa...
Kuna mzee wa msoga, makamba senior na junior na dada mkubwa ni ama mama wa Kizimkazi au mwamvita (inategemea na tafsiri ya kiswahili cha britanicca)
Hiyo inaitwa ngumu kumeza, sio kama mashairi ya westlife kwenye Soledad 🧠👣Hivi mtu unaogopa nini kwenda straight na kutaja majina halafu ukizingatia ni tetesi na unatumia fake ID
Kweli CCM watatawala milele.Kama tuna fake ID na still tunaogopa.Mweh
Mwanzoni hata mimi niliwaza ni Mama wa Kizimkazi, ila nadhani sio yeye bali ni Dada wa January kwasababu ndio anaweza kuitwa kwenda kwa Mzee wa Msoga lakini sio Mama wa Kizimkazi kwasababu protokalii inakataa Mama Kuitwa bali yeye ndio anaweza kuita mtu.
vipi maalim sefu pale cufAlihama lowassa hata ccm haijatingishika, ndo iwe hao madogo 😂
Slaa alitoka chadema na hakuna lililotokea.
Ukiwepo mahali unajiona una umuhimu sana na ukiondoka taasisi itaangamia, ila ukiondoka kweli unashangaa mambo yanaenda kama ilivyokuwa 😂 ni sawa na mbowe tuu anavyoshangaa chadema ya sasa