spartacus
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 428
- 144
bongo dsm.....Balozi na MR. II......dedication to you.... ila pole sana, na tunashukuru kwa taarifa.......
ALERT:
kama una hela kuanzia 100,000/= au zaidi, kama una vito vya thamani, simu za thamani, nguo za thamani,....chochote chenye kuweza kuleta ulaji kwa mtu mwingine...afu upo Dsm, maeneo ya Ubungo, Buguruni, Karume, Kariakoo, Posta......basi unatakiwa kuzungumza na wale ulioapanga kuzungumza nao kwa siku hiyo....usiongee, wala kuongozana...wala kumsikiliza..wala kupeana mikono na mtu mwingine yeyote ambaye humjui...........
ALERT:
kama una hela kuanzia 100,000/= au zaidi, kama una vito vya thamani, simu za thamani, nguo za thamani,....chochote chenye kuweza kuleta ulaji kwa mtu mwingine...afu upo Dsm, maeneo ya Ubungo, Buguruni, Karume, Kariakoo, Posta......basi unatakiwa kuzungumza na wale ulioapanga kuzungumza nao kwa siku hiyo....usiongee, wala kuongozana...wala kumsikiliza..wala kupeana mikono na mtu mwingine yeyote ambaye humjui...........