hakuna mazingaombwe wala nini. walikuchezea fix paleplae lakini hukuona tu. Huku ni kuibiwa kizembe kabisa. Anyway sio kama nafurahia ila lazima ukweli usemwe.
pole sana. yaani wewe unaacha maduka yooooooote unaenda kubadilishia hela kwenye ngazi?
na liwe fundisho kwa wote wa namna hii
Babuyao, pole sana!! Lakini wakati mwingine ni mipango ya kukuandaa kupata pesa nyingi zaidi!! kwa hiyo usisikitike sana. We chukulia tu kuwa hiyo pesa umeichange kwa exchange rate ya chini sana.
Mkuu, yule gwiji mkuu tulipeana mkono. Tena baada ya kuhesabu pesa nilimuuliza kama pesa hizo ni legal na valid akasema nisiwe na wasiwasi. Nikamuuliza kwa nini duka liko kifichoni akasema lengo ni kukwepa kodi kidogo. Nikawapa ushauri wafanye biashara y wazi kwani kificho kwa wateja kinatisha. Jamaaa akecheka na kunikaribisha tena akinisindikiza mpaka langoniKama ulisalimiana naye kwa kupeana mkono basi kuibiwa ulianzia pale pale kabla hujapanda ghorofani.
Pole sana ndugu, ila ndo siku nyingine usipende vitu vya shortcut
Unbelievable! hii lazima umetunga tu, no way, absolutely impossible.
Yaani leo, Machi 2013, uibiwe kiZOMBIE namna hiyo? no way.
Kama ni kweli basi AMKA!.
Rate yao ni nzuri sana lakini wanatumia mazingaombwe pia au tuite mysteriou ujanja "kunywa" pesa ya mteja. Hili sina shaka. Ndo walinifanya nikiwa na AKILI TIMAMU NA UMAKINI MKUBWA. Sina maelezo mengine. Kwangu ni nguvu za giza pia zipo. The devil at work.Awa jamaa wanakupa rate ya Dola ambayo uwezi kuikataa,Usifikirie kuwa wanatumia uchawi!wanakupa an Offer that you can not refuse!Lazima uingie King.
Hapana mkuuu, nilipewa mkononi laki 2 na elfu 22. Nikanywewa zote na kubakiwa na elfu 50 tu.
Bank House?