mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
imenibidi nicheke sana kwani watu hawa nawajua sana hata majina yao, wapo pale kwa empress cinema, IPS, na samora kule juu, hawa ndio kazi yao kubwa wamejenga wameo wanawake wazuri wengine wana magari, hawa jamaa wanaibia hata makomandoo wa kimarekani, picha hii nilikuwa nazishuudia laivu wakati nipo samora, wamewahi kumuibia mkapa akiwa wazir, ukitaka kuwapata waulize wale waandishi wa habari pale kijiweni kwao watakupa majina unaweza kumkumbuka aliyekuibia