Nimetapeliwa jamani

Nimetapeliwa jamani

Kipatikanacho kwa uraisi basi hupotea kiuraisi hivyo hata wewe nahisi hizo hela hujapata kwanjia iliyo halali maana unadiriki kutembea na mtu ambaye haumjui alafu unamwambia unahela kihivyo kama haitoshi umedhara ofisi zinazofanya hiyo kazi umeenda kwenye ngazi mjini hesabu baba kama ulikuwa hujui shule kijijin
 
Mkuu, yule gwiji mkuu tulipeana mkono. Tena baada ya kuhesabu pesa nilimuuliza kama pesa hizo ni legal na valid akasema nisiwe na wasiwasi. Nikamuuliza kwa nini duka liko kifichoni akasema lengo ni kukwepa kodi kidogo. Nikawapa ushauri wafanye biashara y wazi kwani kificho kwa wateja kinatisha. Jamaaa akecheka na kunikaribisha tena akinisindikiza mpaka langoni
Mkuu hamna uchawi hapo ni changa la macho na hesabu nyingi ambazo wewe lazima sehemu ulibug tuu,utapeli upo wa aina nyingi ila usiamini kuwa uchawi ulikuwa applied hapo.Ni Changa la macho
Siku nyingine pasuka acha ukolo!
 
Pole sana mkuu...Umefanya vizuri kutubandikia yaliyokupata...chukulia hili kama somo ambalo umejifunza kitu fulani...
 
Back
Top Bottom