Nimerudi: Ban haikuwa haki, mods sikilizeni!

Nimerudi: Ban haikuwa haki, mods sikilizeni!

Hao watu self centered wewe ni mmojawapo. Yaani mtu akikupinga hoja yako unakuwa unachukulia kama mashambulizi kwako binafsi. Kama mtu ana-put your views down sio sababu ya kumtukana, watu humu tuko wengi sana sio kila utakachoandika kitakubalika au kueleweka na kila mtu.
I know ndo maana ni kakwambia kuwa sina hulka hizo..
Ila watu hawako na perspective hii hasa wakati wa kuleta hoja zao zenye pingamizi.
 
I don't. You shouldn't acted you knew me either
Revisit our PM na uhesabu how many months 've passed since our last chat

Yet for some reasons unanitag kwenye upuuzi with baseless accusations

Come on I don't even care about your existence much less sipo interested with your dramatic jf life

forget about me nifute kwenye ubongo wako as much as I did
 
Revisit our PM na uhesabu how many months 've passed since our last chat

Yet for some reasons unanitag kwenye upuuzi with baseless accusations

Come on I don't even care about your existence much less sipo interested with your dramatic jf life

forget about me nifute kwenye ubongo wako as much as I did
And wtf umereplly kwenye huu uzi?

Usijifanye hujui uliichokifanya. Mbona nyie machoko huwa hamchoki? Can you jjustt keep doing dirty works silently
 
Either way the ban was necessary maana nimepata wasaa wa ku visit nature...

The special thing was these feathery friends.


View attachment 3664478View attachment 3664479View attachment 3664481

Hivi niwaulize enyi mods. Kwanini huwa mnawapa ban members kisa watu wame report? The report isn't the whole story... Muwe mnauliza kwa member husika aliye reportiwa mjue the whole thing.

Hii ban sema ukweli ilinikwaza maana I was innocent. Yule mpuuzi mliye wacha ndiye alikuwa chanzo...

Alafu kingine wanabodi... Mbona kwenye hili jukwaa kuna sensorship ya mada zinazogusa uongozi wa jamiiforums?

Kuna uzi ulikuwa unaulizia ni kwa nini jamiiforums haijaleta mabadiliko katika jamii.. Ule uzi ulifungiwa watu wasi comment...
https://www.jamiiforums.com/threads...ileti-mabadiliko-chanya-kwenye-jamii.2469226/


Kitu ambacho kina onesha dhahiri ya kuwa members humu hatupaswi kuuliza maswali fikirishi for the betterment of this platform.

Ila yote kwa yote Nime rudi nikiwa bora.
Huyu mpuuzi inaonekana BAN haijamrekebisha chochote. Napendekeza apewe LIFE BAN.
 
Kwa kweli inashangaza sana, ila vina mwisho, wengi walikuwa hivi sasa wamechoka na kuacha.
Mkuu shida nini?

Inamaana mtu akipigwa ban isiyo eleweka asije kusema jukwaani?

You have no autonomy to tell me what to write in here as long as I don't cross boundaries of anyone
 
Back
Top Bottom