Kuna mod mmoja ye kazi yake kufuta nyuzi tu mwingine kugonga ban yaani wana mgawanyo wa majukumu .... huyu kaa malaika wa kifo huyu malaika wa hukumu nkBasi huyo alikuwa kanipania kabisa sio bure
HahahaKuna mod mmoja ye kazi yake kufuta nyuzi tu mwingine kugonga ban yaani wana mgawanyo wa majukumu .... huyu kaa malaika wa kifo huyu malaika wa hukumu nk
Mwanangu wanampiga sana ban aiseBora umepata mda wa kuona nature
Labda hukustahili ban lakini umepumzika
Pole yakeMwanangu wanampiga sana ban aise
Ova
Pole sana my wife wanguEither way the ban was necessary maana nimepata wasaa wa ku visit nature...
The special thing was these feathery friends.
View attachment 3664478View attachment 3664479View attachment 3664481
Hivi niwaulize enyi mods. Kwanini huwa mnawapa ban members kisa watu wame report? The report isn't the whole story... Muwe mnauliza kwa member husika aliye reportiwa mjue the whole thing.
Hii ban sema ukweli ilinikwaza maana I was innocent. Yule mpuuzi mliye wacha ndiye alikuwa chanzo...
Alafu kingine wanabodi... Mbona kwenye hili jukwaa kuna sensorship ya mada zinazogusa uongozi wa jamiiforums?
Kuna uzi ulikuwa unaulizia ni kwa nini jamiiforums haijaleta mabadiliko katika jamii.. Ule uzi ulifungiwa watu wasi comment...
https://www.jamiiforums.com/threads...ileti-mabadiliko-chanya-kwenye-jamii.2469226/
Kitu ambacho kina onesha dhahiri ya kuwa members humu hatupaswi kuuliza maswali fikirishi for the betterment of this platform.
Ila yote kwa yote Nime rudi nikiwa bora.
akuuu hata sio kwa ubaya😄Unamtafuta maneno
Masnitch wote kawatupa kwenye dustbin.akuuu hata sio kwa ubaya😄
tena wew ndo nambari uno, ngoja ajeMasnitch wote kawatupa kwenye dustbin.
Muacheni gunner wangu
Pole sana mkuuEither way the ban was necessary maana nimepata wasaa wa ku visit nature...
The special thing was these feathery friends.
View attachment 3664478View attachment 3664479View attachment 3664481
Hivi niwaulize enyi mods. Kwanini huwa mnawapa ban members kisa watu wame report? The report isn't the whole story... Muwe mnauliza kwa member husika aliye reportiwa mjue the whole thing.
Hii ban sema ukweli ilinikwaza maana I was innocent. Yule mpuuzi mliye wacha ndiye alikuwa chanzo...
Alafu kingine wanabodi... Mbona kwenye hili jukwaa kuna sensorship ya mada zinazogusa uongozi wa jamiiforums?
Kuna uzi ulikuwa unaulizia ni kwa nini jamiiforums haijaleta mabadiliko katika jamii.. Ule uzi ulifungiwa watu wasi comment...
https://www.jamiiforums.com/threads...ileti-mabadiliko-chanya-kwenye-jamii.2469226/
Kitu ambacho kina onesha dhahiri ya kuwa members humu hatupaswi kuuliza maswali fikirishi for the betterment of this platform.
Ila yote kwa yote Nime rudi nikiwa bora.
Nimefurahi kukuona! Sasa de Gunner aje kutoa dukuduku lakeTumefurahi kukuona tena mwanetu mwenye jf yake
View attachment 3664595
Unapenda violence hutaki amani hahaaaaa mi nimemkaribisha tu mwanetu wa faida. Sina hila mieNimefurahi kukuona! Sasa de Gunner aje kutoa dukuduku lake