mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 24,586
- 80,331
Analilia nini, mods walimkamata wapi?Mods walikuonea hata mimi niliwaambia. Poleš
Analilia nini, mods walimkamata wapi?Mods walikuonea hata mimi niliwaambia. Poleš
Do you know what caused the ban?Mzee wa kupigwa ban..
Halafu siku ile nilikushauri...
Na huu uzi usipoangalia utalambwa ban...
Uliporudi hukuwa hata na haja ya kufungua uzi wa malalamiko kwamba umepigwa ban..
Sawa mkuu. Labda hukutoa ufafanuzi wa ufasaha kutetea uzi wako.Either way the ban was necessary maana nimepata wasaa wa ku visit nature...
The special thing was these feathery friends.
View attachment 3664478View attachment 3664479View attachment 3664481
Hivi niwaulize enyi mods. Kwanini huwa mnawapa ban members kisa watu wame report? The report isn't the whole story... Muwe mnauliza kwa member husika aliye reportiwa mjue the whole thing.
Hii ban sema ukweli ilinikwaza maana I was innocent. Yule mpuuzi mliye wacha ndiye alikuwa chanzo...
Alafu kingine wanabodi... Mbona kwenye hili jukwaa kuna sensors hip ya mada zina gusa uongozi wa jamiiforums?
Kuna uzi ulikuwa unaulizia ni kwa nini jamiiforums haijaleta mabadiliko katika jamii.. Ule uzi ulifungiwa watu wasi comment...
https://www.jamiiforums.com/threads...ileti-mabadiliko-chanya-kwenye-jamii.2469226/
Kitu ambacho kina onesha dhahiri ya kuwa members humu hatupaswi kuuliza maswali fikirishi for the betterment of this platform.
Ila yote kwa yote Nime rudi nikiwa bora.
Funza + + š¤£š¤£Una funza kweli! ...š
How old are you kinaja?
Mkuu niliwauliza mods kabisa wanifafanulie why, ila wanaishia kujikanyaga tu na kusingizia Nime vunja miiko na nimezusha kitu ambacho hakipoSawa mkuu. Labda hukutoa ufafanuzi wa ufasaha kutetea uzi wako.
Pole sana mkuu. Hata hivyo utakuwa umepata funzo kupitia kufungiwa huku.Mkuu niliwauliza mods kabisa wanifafanulie why, ila wanaishia kujikanyaga tu na kusingizia Nime vunja miiko na nimezusha kitu ambacho hakipo
Nami nikawaambia hamuuoni kuwa ni swali la msingi?
Wakaishia kunifungia pia nisiweze ku comment na kuchangia mijadala mwingine wowote.
Wakupe nyongeza.Either way the ban was necessary maana nimepata wasaa wa ku visit nature...
The special thing was these feathery friends.
View attachment 3664478View attachment 3664479View attachment 3664481
Hivi niwaulize enyi mods. Kwanini huwa mnawapa ban members kisa watu wame report? The report isn't the whole story... Muwe mnauliza kwa member husika aliye reportiwa mjue the whole thing.
Hii ban sema ukweli ilinikwaza maana I was innocent. Yule mpuuzi mliye wacha ndiye alikuwa chanzo...
Alafu kingine wanabodi... Mbona kwenye hili jukwaa kuna sensorship ya mada zinazogusa uongozi wa jamiiforums?
Kuna uzi ulikuwa unaulizia ni kwa nini jamiiforums haijaleta mabadiliko katika jamii.. Ule uzi ulifungiwa watu wasi comment...
https://www.jamiiforums.com/threads...ileti-mabadiliko-chanya-kwenye-jamii.2469226/
Kitu ambacho kina onesha dhahiri ya kuwa members humu hatupaswi kuuliza maswali fikirishi for the betterment of this platform.
Ila yote kwa yote Nime rudi nikiwa bora.
Kila mara huwa unarudi ukiwa bora, una definition tofauti ya neno bora?Ila yote kwa yote Nime rudi nikiwa bora.
Funzo ni kuwa the truth hurts, na watu hawapendi kusikia ukweli... Hii ban walinionea na kunifungia nisicomment wala kuanzisha nyuzi ilinionesha kuwa uhuru unaoimbwa humu haupoPole sana mkuu. Hata hivyo utakuwa umepata funzo kupitia kufungiwa huku.
Mpe vidonge vyake.Kila mara huwa unarudi ukiwa bora, una definition tofauti ya neno bora?
Dah binadamu nyie! šMpe vidonge vyake.
You better!!What do you mean....!
Bora= better version, maana najifunza how to dance according to the beat