Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Nasikiaga mashangazi sio poa😁
So poa mashangazi mybe yasiwe yanatoka katika ukoo wako,
Ila hawa dada ake sijui wadogo ake baba aaaaah aaaah show kali...

Alafu kuna mama wadogo ndo kila leo nabishana nao kuhusu kuoa
 
So poa mashangazi mybe yasiwe yanatoka katika ukoo wako,
Ila hawa dada ake sijui wadogo ake baba aaaaah aaaah show kali...

Alafu kuna mama wadogo ndo kila leo nabishana nao kuhusu kuoa
SIna shangazi wala ma mdogo,

HUtaki kuoa??
 
Mbali ssna,oa mapema upate watoto mapema ,
Watoto mapema sitaki..
Then sipendi watoto yaani watoto mybe nipate kwa kulazimishwa na ndgu wasije wakazua maneno..

Ila kiukweli mi sipndi mambo ya watoto an staki mtoto mimi
 
Duuuh hupendi watoto??
Ndio sipendi hata kidogo...
Yaani supendi hapo badae mke wangu apate mimba i means nikipata mwanamke gumba itakua ni great advantage kwangu...

Ila kuna family influence hapo ndo itakua changamoto
 
Back
Top Bottom