Nimependa changudoa

Nimependa changudoa

Uyo kazoea huta wezananae ,akiombwa na wengine atawapa tu, kwa sababu kitu kimeshaingia damuni akiwezi kuisha kabisa ,wanaotaka kujikumbushia watajikumbushia tu,kaka huyu uwezi kumchunga achana nae tafta mwingine atakae kufaa.
 
Uyo kazoea huta wezananae ,akiombwa na wengine atawapa tu, kwa sababu kitu kimeshaingia damuni akiwezi kuisha kabisa ,wanaotaka kujikumbushia watajikumbushia tu,kaka huyu uwezi kumchunga achana nae tafta mwingine atakae kufaa kwanza masharti yake anaonekana mtu anayependa starehe sana .
 
Uyo kazoea huta wezananae ,akiombwa na wengine atawapa tu, kwa sababu kitu kimeshaingia damuni akiwezi kuisha kabisa ,wanaotaka kujikumbushia watajikumbushia tu,kaka huyu uwezi kumchunga achana nae tafta mwingine atakae kufaa kwanza masharti yake anaonekana mtu anayependa stare
he sana .
Anapenda kweli starehe c kidogo
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi ktk shirika moja la kimataifa. Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yaani warembo.
Nilipimaliza chuo nilifanya kazi ktk bank moja dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi ktk shirika hili nilipo sasa huku kanda ya ziwa kwakuwa huku nilikuwa ugenn siku moja nilienda club hapa mwanza ktk cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lkn ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mm utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.
Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo ikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka bataja kumuoa sasa sijui napotea naomba ushauri mwenzenu!

sitaki kutoa povu wala mate, Hakika wewe nawe ni CHANGUBABA, NADHANI JINA HILO LITAKUFAA. Kuoa si kujaribu kama unavyojaribu kiatu kama kinatosha, maana kisipotosha unabadilisha. lakini kuoa ni kuungana ktk mwili na roho pia, kama utabahatika kuoa huyo CD ukawa na future nzuri nakushauri kapeleke sadaka kwa Mungu wako, au wadhani utampeleka gereji akabadili tabia yake??? Wadhani hadi wewe unamkuta akiwa CD, hakuna hakuna aliyeweza kupata mawazo kama yako???. maana ulivyozimika kwake wapo na wenzio wamezimika hivyohivyo na pili tunaweza mjengea hadi nyumba. Jaribu uone
 
Uyo kazoea huta wezananae ,akiombwa na wengine atawapa tu, kwa sababu kitu kimeshaingia damuni akiwezi kuisha kabisa ,wanaotaka kujikumbushia watajikumbushia tu,kaka huyu uwezi kumchunga achana nae tafta mwingine atakae kufaa.
Na mm cna muda wa kuchunga mru
 
sitaki kutoa povu wala mate, Hakika wewe nawe ni CHANGUBABA, NADHANI JINA HILO LITAKUFAA. Kuoa si kujaribu kama unavyojaribu kiatu kama kinatosha, maana kisipotosha unabadilisha. lakini kuoa ni kuungana ktk mwili na roho pia, kama utabahatika kuoa huyo CD ukawa na future nzuri nakushauri kapeleke sadaka kwa Mungu wako, au wadhani utampeleka gereji akabadili tabia yake??? Wadhani hadi wewe unamkuta akiwa CD, hakuna hakuna aliyeweza kupata mawazo kama yako???. maana ulivyozimika kwake wapo na wenzio wamezimika hivyohivyo na pili tunaweza mjengea hadi nyumba. Jaribu uone

Duh umeua hapo
 
"Housewife"
(feat. Kurupt & Hittman)
[Chorus: Kurupt]
Now this this is one of them occasions
where the homies not doin it right
I mean he found him a hoe that he like
But you can't make a hoe a housewife
And when it all boils down you gonna
find in the end
a bitch is a bitch, but a Dogg is a man's
best friend
So what you found you a hoe that you
like
But you can't make a hoe a housewife
(wife)
[Dr. Dre]
I mostly sold dick while I packed a gold
clip
Worked my money-maker, she got
paper, she bout to trip
(Where the **** is my money?) I cannot
G guilty
You pimpin strong, but comin home, to
sheets that be filthy
She on the dillzy, I take advantage
All up in them panties, I got this bitch
speakin Spanish
I'm mannish - get yo' nails out my back
Slut I'm bout to nut and get up, go scrub
yo' cat
Learn the player rules, this is how I play
a dude
Might not be a freak, but she got on the
choosin shoes
Dollar signs are folded, I can't control it
Tryin to leave her, beeper just exploded
She sweatin me, won't let me, broad
turned fraud
Now she on this dick huh, got her turnin
tricks huh
Man it's a trip I don't trip I'm in yo' Lexus
flexin
I left her up in Dallas, Texas - assed-out
[Chorus]
[Hittman]
Naw hoe is short for honey, almost had
her Wailin like Bunny
Tellin tales of bein pregnant, catchin
Norstrom sales with abortion money
I spotted her, seen her with my nigga
when I shot at her
Now we got beef, he caught up in the
hoe's erotica
Exotic - she's psychotic, rockin his
Nautica
Soon he'll need antibiotics (sucka bitch)
Name a sexual disease, she got it like
Sam Goody
You be like, "Damn how could she hit me
off with chlamydia?"
Fool I pity ya
We live in the city off, ballers
with more bouncin than a Zapp, she will
doo-wah-diddy-ya
Prettier to grittier, the wittier can get
her
to the Hotel, Niko, on some Sauve shit
like, Rico
That's when I caught a Vision like Coleco
A high-post hoe, a perfect way for me to
keep dough
Huh, have her sellin ass on Bronson Ave.
and Pico
[Kurupt]
At the ho-tel, mo-tel, or the Holiday Inn
(say what nigga?)
I said if that bitch keep ****in up
(beotch) then we'll **** her friends
I said I dip, dive, what can I say?
Niggaz need to stop ****in with O.J.
Some niggaz bang blood, some niggaz
bang crip
And bitches ain't shit but hoes and tricks
I had to dream of hoes, I had to scream
at hoes
I seen my hoes in all kinds of clothes
Lil' Almond Joy, I truly enjoy
if you blew my balls, right through my
drawers
Come back to the mansion, chill at the
spot
From the way she was blowin, I know she
does it a lot
I have a eight-and-a-half, nine-and-
three-quarters
The hoe started callin when I started
boss ballin
Gimme some head, gimme some ass
(uh-huh)
Gimme some cash, pass it to Daz
Pass it to Snoop, or pass it to Nate
Hoes eat dick like eggs and steak
That ain't shit new, I thought you knew
(what?)
I knew you would, you wish you could
break a G down, break me down
But I'ma see you on the rebound (what
what?) D.P. style
[Chorus]
[door slams]
[D.O.C.]
Lil' 1/2 Dead
[1/2 Dead??]
Lil' 1/2 Dead the money jumped out to
say
ol' Snoop Dogg on the look out boy?
[D.O.C.]
Yeahhh
[some hoe]
He gotta be MORE than 1/2 Dead
if he don't fill my mother****in drink up!
[1/2 Dead??]
Or fill your mother****in mouth up
[D.O.C.]
Ahhhhhh-HAHAhahahahAHAHH
[some hoe]
I don't think so!!
 
Bhana, sikiliza moyo na hisia zako!
Jiulize wewe umesha du mara ngapi na wanawake wangapi? Je unadhani ni sahihi uhukumiwe kwa your past experience?
Umeshajaribu kumdodosa nini kilichomfanya awe changudoa? Umejua msimamo wake juu ya uwezekano wa kuacha hiyo biashara ya kujiuza?
Ushauri
usifanye haraka, endelea kumchunguza, mwende kupima VVU, Tumieni kifudusi(Condom) kila mnapongonoka,

mhh hao hawawekeki ndani sanasana utakuwa umewasaidia majirani we jitu limeshazoea kukunwa na size tofauti,sehemu tofauti na kwa siku watu tofauti tofauti
wewe mleta mada unapotea i swear tena acha kabisa mwanza wazuriii wengi na wanatabia nzuri tuuuu vuta subra utampata hizo mi naita obsessions baada ya mda utajielewa tu na utakuwa sawa
utampata unayeendana nae
embu fikiria biashara anayoifanya????ila kama unazidiwa unashtua kisela kwake ila si kufikiria kumuoa au kuweka makazi hapo
kumbuka kunguru hafugiki
 
Kitu nilichofurahi ni kimoja kumbe unayajua mabaya yake ama kweli mapenzi upofu
sasa unataka tukuambiaj???watu wengine bwana tafuta mdada mkaliiii huko akutoe hizo n.y.e.g.e maana ni hizo ndo zinakusumbua
ukimpata mdada mkaliiii nafikiri huyo changu wako utamsahau
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi ktk shirika moja la kimataifa. Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yaani warembo.
Nilipimaliza chuo nilifanya kazi ktk bank moja dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi ktk shirika hili nilipo sasa huku kanda ya ziwa kwakuwa huku nilikuwa ugenn siku moja nilienda club hapa mwanza ktk cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lkn ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mm utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.
Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo ikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka bataja kumuoa sasa sijui napotea naomba ushauri mwenzenu!

Shahadaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! tena ya chuo kikuu
 
Mama Klein katika mada kama hizi huwa hukosei njia. UNAKUWA MAKINI ZAIDI YA KAWAIDA.Na ndio maana huwa napenda kuwakaribisha Kongosho, Preta, Asprin, Zion Daughter,Ciello na wengineo kama Wiyelele, Nivea ana huruma sana, Bora Badili Tabia.....ukimleta lara1 hapa mleta mda atajuta kwanini alieleza ingawa majibu ya ufasaha atayapata. Una ushauri mzuri sana Mama Klein.

[
QUOTE=gfsonwin;5036609]jamani naombeni mm nilisemee hili kwa mitazamo tofauti na hapa nakupa wewe mtoa mada nafasi ya kuchagua kwa makini.

changudoa kupendwa na kufanywa mpenzi hadi mke si kitu kibaya hata kidogo ila tu itategemea utayari wa mdada na wewe mwenyewe. iwapo binti atakubali kuachana na jkazi hiyo, na kuambatana na mumewe na kuwa mwili mmoja basi huyu CD can make a material wife.

on the ither hand ikiwa kwamba huyu CD akakubali kuolewa ila moyo wake usiambatane na mumewe basi huyu hafai kuwa material wife na kumuoa ni sawa na kujitwisha gunia la misumari ama kiroba cha mavai. however kama binti ama huyu Cd atakataa kabisa kuoleewa ama kuwa na mahusiano ya kimapenzi basi ni bora zaid kuheshimu mtazamo wake huu.

kiukweli sababu za mtu kuwa changundoa ni mtambuka na wapo wanaoafanya kwa kupenda na wapo wanaofanya kwasababu ya stuataion tu. tusikhukumu kwamba hafai kuwa mke ama tusimtetee kwamba anaafaa kuwa mke pasi kumpa nafasi ya kumchunguza na kumsikiliza binti husika.

jaribu wewe mtoa mada kuongea li ujue kwann anafanya kazi hiyo na je alishawishia na kitu gani na kama yuko tayari kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuacha biashara hiyo. kamwe usi du bila kondom wala usimwonyeshe hisia za wazi pasi kumchunguza sana sana.[/QUOTE]
 
Hakuna definition ya kuoa..
hali ya kua moyo wako umeridhika,
tia kitu ndani kiulaiiiiiiiiiiini..
maneno ya watu yapo tu na sijui kama yatabadili moyo wako.
kwani nyie wote ni machangudoa ndio maana mkachukuana.
yeye anauza wewe unanunua,kwa hiyo ni mtu na mteja wake,si mbaya.
nakushauri kwa moyo mkunjufu kabisa,muoe tu kwani ndio wa type yako.
ukimuacha utaidhulumu yako nafsi..
 
mhh hao hawawekeki ndani sanasana utakuwa umewasaidia majirani we jitu limeshazoea kukunwa na size tofauti,sehemu tofauti na kwa siku watu tofauti tofauti
wewe mleta mada unapotea i swear tena acha kabisa mwanza wazuriii wengi na wanatabia nzuri tuuuu vuta subra utampata hizo mi naita obsessions baada ya mda utajielewa tu na utakuwa sawa
utampata unayeendana nae
embu fikiria biashara anayoifanya????ila kama unazidiwa unashtua kisela kwake ila si kufikiria kumuoa au kuweka makazi hapo
kumbuka kunguru hafugiki
Dah changamoto hyo
 
Hakuna definition ya kuoa..
hali ya kua moyo wako umeridhika,
tia kitu ndani kiulaiiiiiiiiiiini..
maneno ya watu yapo tu na sijui kama yatabadili moyo wako.
kwani nyie wote ni machangudoa ndio maana mkachukuana.
yeye anauza wewe unanunua,kwa hiyo ni mtu na mteja wake,si mbaya.
nakushauri kwa moyo mkunjufu kabisa,muoe tu kwani ndio wa type yako.
ukimuacha utaidhulumu yako nafsi..
Chechechecheche
 
Shahadaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! tena ya chuo kikuu

ahahahhahahhahhhah yani ahsante kwa kunipe cheko la haja asubuhi yote hii!lol!
ahahahhahahhahahha watu kwa kusoma katikati ya mistari ni noumer!
shahada ya chuo kikuu mcheso?
 
Back
Top Bottom