Nimependa changudoa

Nimependa changudoa

to me usioe kabisa huyo mwanamke...........bado akili yake haijakaa vizuri
ameanza kukwambia umnunulie gari na umfungulie duka la nguo ndo atulie!!!!!!!!!!!!!!!!!!

AMIN AMIN NAKUAMBIA unajitafutia pressure.....kwa nn asiombe duka la nguo tu ili apate kazi ya kufanya
itakayomuingizia kipato then afikirie kununua gari kwa kazi za mikono yake???

JE ASIPOPATA GARI NDO ATAKUWA MALAYA MPAKA KUFA KWAKE?????
Nakuunga mkono aisee, hapo jamaa anajitafutia pressure za bure tu.........!!
 
to me usioe kabisa huyo mwanamke...........bado akili yake haijakaa vizuri
ameanza kukwambia umnunulie gari na umfungulie duka la nguo ndo atulie!!!!!!!!!!!!!!!!!!

AMIN AMIN NAKUAMBIA unajitafutia pressure.....kwa nn asiombe duka la nguo tu ili apate kazi ya kufanya
itakayomuingizia kipato then afikirie kununua gari kwa kazi za mikono yake???

JE ASIPOPATA GARI NDO ATAKUWA MALAYA MPAKA KUFA KWAKE?????
Hapo sasa noma
 
Kweli kabisa huku maofisini kuna uchafu wa ajabu unafanyika, mbaya zaidi na waume za watu ndio wanaongoza kutafuna wake za watu.

katavi ukifanya majumuisho unagundua ndoa nyingi ni vipeperushi na anayetaka kuvisoma hazuiliwi pale anapovihitaji.
 
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Huyu ni changu mwenzio, ukimuoa mtaishi kwa amani sana. Huwezi jua unaweza kuta Mungu akawasaidia mkajitambua kuwa mambo ya nani sio kila ukijiskia unafanya ila kunakujicontrol na kujisemea hawaishi hawa.
 
Amesema nimnunulie gari na kunfungulia duka la nguo atatulia. My take vyote hvo viko ndani ya uwezo wangu
kijana tena niseme mdogo wangu hakufai kabisa huyu binti.
binadam yyte yule hawezi kusema eti nitaacha tabia yangu mbaya hii iwapo nitapewa kitu fulan hapana, hii inamaanisha kwamba hajui kwann anafanya hiyo tabia. ukweli angekuwa mtu asiyependa hiyo kazi na anafanyia kazi kitendo cha kumpata mtu na kuongea nae angeonyesha hisia za kuchukia kile anachokifanya on the spot.

however, kwa yeye kusema anataka duka la nguo na gari inamaana siku akitamani numba atarudi tena kufanya hiyo kazi. kwangu mm sion kama atafaa kuwa mke unless una risk kwamba ikiwapoa shwari iki bumba poa. uzuri wake usikufanye ukampendelea achana nae kabisa. tulia utapata mke ila uyu wa condition hizi hatakufaa milele.
 
Muoe ila inabidi uwe unawaita rafiki zako wakusaidie ku do coz kashazoea kwa siku kulala na wnanaume 20 pekee yako huwezi.
 
kijana tena niseme mdogo wangu hakufai kabisa huyu binti.
binadam yyte yule hawezi kusema eti nitaacha tabia yangu mbaya hii iwapo nitapewa kitu fulan hapana, hii inamaanisha kwamba hajui kwann anafanya hiyo tabia. ukweli angekuwa mtu asiyependa hiyo kazi na anafanyia kazi kitendo cha kumpata mtu na kuongea nae angeonyesha hisia za kuchukia kile anachokifanya on the spot.

however, kwa yeye kusema anataka duka la nguo na gari inamaana siku akitamani numba atarudi tena kufanya hiyo kazi. kwangu mm sion kama atafaa kuwa mke unless una risk kwamba ikiwapoa shwari iki bumba poa. uzuri wake usikufanye ukampendelea achana nae kabisa. tulia utapata mke ila uyu wa condition hizi hatakufaa milele.
Ndo na mm hilo linanitisha
 
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Huyu ni changu mwenzio, ukimuoa mtaishi kwa amani sana. Huwezi jua unaweza kuta Mungu akawasaidia mkajitambua kuwa mambo ya nani sio kila ukijiskia unafanya ila kunakujicontrol na kujisemea hawaishi hawa.
Jamani kwahyo na mm nimekuwa changu?
 
Jamani kwahyo na mm nimekuwa changu?
Inamaana hujijui wakati umesema mwenyewe kuwa ni mpenzi wa nini? Changu sio wanawake tu na hata mwanaume anayewza kutana na msichana bila kufahamiana nae vizuri na kumfahamu ni mtu wa aina gani background yake ikoje akakimbilia kudo nae huyo ni changu na ndivyo ulivyo. Yaani kaka hujijui?
 
Ndo na mm hilo linanitisha

huyu yuko kibiashara zaid na si unajua mjini hapa kila mtu anatega mingo kimtindo???
tulia tafuta mke mahali pengine ila si kwa changudoa. ingawa pia yawezekana kabisa yeye akawa amesema hivyo kama njia ya kukukimbiza, ama kama njia ya kukupima imani ama kama njia ya kupata life security siku ukimtenda awepo na ujira lol!

ngumu kweli kupata jibu sahihi ila kwangu mm mpotezee bana!
 
Inamaana hujijui wakati umesema mwenyewe kuwa ni mpenzi wa nini? Changu sio wanawake tu na hata mwanaume anayewza kutana na msichana bila kufahamiana nae vizuri na kumfahamu ni mtu wa aina gani background yake ikoje akakimbilia kudo nae huyo ni changu na ndivyo ulivyo. Yaani kaka hujijui?
Kwa kweli mm sielewi kama na mwanaume anakuwaga changu.
 
huyu yuko kibiashara zaid na si unajua mjini hapa kila mtu anatega mingo kimtindo???
tulia tafuta mke mahali pengine ila si kwa changudoa. ingawa pia yawezekana kabisa yeye akawa amesema hivyo kama njia ya kukukimbiza, ama kama njia ya kukupima imani ama kama njia ya kupata life security siku ukimtenda awepo na ujira lol!

ngumu kweli kupata jibu sahihi ila kwangu mm mpotezee bana!
Nimelichukua kaka
 
huyu yuko kibiashara zaid na si unajua mjini hapa kila mtu anatega mingo kimtindo???
tulia tafuta mke mahali pengine ila si kwa changudoa. ingawa pia yawezekana kabisa yeye akawa amesema hivyo kama njia ya kukukimbiza, ama kama njia ya kukupima imani ama kama njia ya kupata life security siku ukimtenda awepo na ujira lol!

ngumu kweli kupata jibu sahihi ila kwangu mm mpotezee bana!

mbona kuna wanawake ambao wanajidai sio machangu lakini wanaweka conditions katika kumpata au kumuoa, haya ni mambo ya wanawake wengi. Ni kweli kwa sasa fikira zake zimetawaliwa na biashara zaidi, lakini ni wajibu wake ku-secure maisha yake, ukifanikiwa kaka utakuwa umefanya jambo kubwa sana katika maisha yako na Mungu atakubariki. Jambo la msingi anza kushiriki ibada, Mungu atawasaidia. Hakuna mwanadamu aliye bora.......mwanadamu anakawaida ya kubadilika.....!!!
 
mbona kuna wanawake ambao wanajidai sio machangu lakini wanaweka conditions katika kumpata au kumuoa, haya ni mambo ya wanawake wengi. Ni kweli kwa sasa fikira zake zimetawaliwa na biashara zaidi, lakini ni wajibu wake ku-secure maisha yake, ukifanikiwa kaka utakuwa umefanya jambo kubwa sana katika maisha yako na Mungu atakubariki. Jambo la msingi anza kushiriki ibada, Mungu atawasaidia. Hakuna mwanadamu aliye bora.......mwanadamu anakawaida ya kubadilika.....!!!
Hiyo yaweza kuwa kweli mkuu. Ngoja nione mwisho wake
 
Hivyo vigezo tu alivyotoa ili umuoe binafsi naona hafai kuolewa huyo, utapata pressure bure!
 
Back
Top Bottom