Kwani dogo huyu alifariki? Kama siyo rip ya nini?R.I.P. mdogo wangu wana Jf tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi!
muulize kama yupotayari kuacha na kuwa commited....na sababu za yeye kuingia hukoni niniili msijepotezeana na ukalost mazimaMimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi katika shirika moja la kimataifa.
Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yani warembo.Nilipimaliza chuo nilifanya kazi katika bank moja Dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi katika shirika hili nilipo sasa huku Kanda ya ziwa.
Kwakuwa huku nilikuwa ugenini siku moja nilienda club hapa Mwanza katika cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lakini ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mimi utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo nikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka nataka kumuoa. Sasa sijui napotea.
Naomba ushauri mwenzenu!
Sio kwa ndoa wewe achakumdanganya mtoto,watu wameoa tu kawaida kila siku jakamoyo ukioa changu je?labda umuwekee mtego kwenye puchi ili akilalwa anase,sio vinginevyo hicho nikitanzi cha kifoMkuu kwani changu doa nae si binadamu kama wewe na mimi. Kwanza kama kweli umempenda kwa dhatio na ukamwoa,
Mungu atakubariki sana kwa kumsaidia na kumsitiri mja wake kwani utakuwa umemwepushia mengi. Kumbuka hata Mary Magdalene alikuwa hooker. Waswahili wasema: Unaweza ukaligeuza jalala kuwa utajiri
Kapime ukimwiMimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi katika shirika moja la kimataifa.
Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yani warembo.Nilipimaliza chuo nilifanya kazi katika bank moja Dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi katika shirika hili nilipo sasa huku Kanda ya ziwa.
Kwakuwa huku nilikuwa ugenini siku moja nilienda club hapa Mwanza katika cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lakini ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mimi utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo nikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka nataka kumuoa. Sasa sijui napotea.
Naomba ushauri mwenzenu!
"kula..... Kula tu Mjomba, wahenga walisema KIZURI KULA NA WASWAHILI WENZIO"Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi katika shirika moja la kimataifa.
Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yani warembo.Nilipimaliza chuo nilifanya kazi katika bank moja Dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi katika shirika hili nilipo sasa huku Kanda ya ziwa.
Kwakuwa huku nilikuwa ugenini siku moja nilienda club hapa Mwanza katika cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lakini ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mimi utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo nikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka nataka kumuoa. Sasa sijui napotea.
Naomba ushauri mwenzenu!
jamani naombeni mm nilisemee hili kwa mitazamo tofauti na hapa nakupa wewe mtoa mada nafasi ya kuchagua kwa makini.
changudoa kupendwa na kufanywa mpenzi hadi mke si kitu kibaya hata kidogo ila tu itategemea utayari wa mdada na wewe mwenyewe. iwapo binti atakubali kuachana na jkazi hiyo, na kuambatana na mumewe na kuwa mwili mmoja basi huyu CD can make a material wife.
on the ither hand ikiwa kwamba huyu CD akakubali kuolewa ila moyo wake usiambatane na mumewe basi huyu hafai kuwa material wife na kumuoa ni sawa na kujitwisha gunia la misumari ama kiroba cha mavai. however kama binti ama huyu Cd atakataa kabisa kuoleewa ama kuwa na mahusiano ya kimapenzi basi ni bora zaid kuheshimu mtazamo wake huu.
kiukweli sababu za mtu kuwa changundoa ni mtambuka na wapo wanaoafanya kwa kupenda na wapo wanaofanya kwasababu ya stuataion tu. tusikhukumu kwamba hafai kuwa mke ama tusimtetee kwamba anaafaa kuwa mke pasi kumpa nafasi ya kumchunguza na kumsikiliza binti husika.
jaribu wewe mtoa mada kuongea li ujue kwann anafanya kazi hiyo na je alishawishia na kitu gani na kama yuko tayari kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuacha biashara hiyo. kamwe usi du bila kondom wala usimwonyeshe hisia za wazi pasi kumchunguza sana sana.