Hawa ndio wanachange ID kama wanachange Nguomkuu mbona unajikanganya inaonekana jamiiforum huna ata wiki tatu,halafu unatuambia ulimpata humu humu jf na umechat nae kama miezi hivi,naomba ulitolee ufumbuzi hili suala..?
Mkuu umesanuka kitu kipya na kizuriKuna watu weng sn hum sasa nikwambie,mtu mmoja ana ID hata 3 au 4,hivi unafikiri hata ww hiyo id uloweka ni jina lako halisi?Kabla ya tarehe 17 sept. ulitumia ID gani na avatar ipi? Hii miezi unayoitaja ulikuwa hujawa member, ungewezaje kutuma post? Isije na wewe ni mwongo vile vile. Umember una Week, kupata mchumba mieze kadhaa, wapi na wapi?
Laiti ungekuwa unajua mtu unayenwambia hayo ni mtu ambaye si wa rika lako Hilo, na tumeyapitia yote hayo, so ninawapeni ushauri tu vijana,Mimi si wa level yako. Ila kama utachukua ushauri chukua, kama unaacha acha.
Show off!!!zinamponza!Hakuna utata hapo mkuu...
Unaweza kuta kajamaa kalikua kakimtumia babe ake mapicha ya viwanja vikali, huku akitupia Pizza, bagga nk.
Waweza kuta jamaa alipiga picha kwenye maegesho ya magari, kisha akamtumia babe picha akiwa pembeni ya Ferrari.
Napata wasiwasi sana kwamba jamaa alijipaisha sana kwa babe kipindi cha kutumiana mipicha
Tutawataja kwakweliYani kilichobaki kutajana na majina

HAYA NAOMBA NIKUTANE NA WW PALE BRAJE MPAKANI teh
tuma laki ya nauli
NdioHasa wanaume wa Dar![]()
![]()

Nakuja kulashost ngoja nijipikie madiko ya hatare leo umbea naacha badae naenda zangu buchani mie

Tapeli wa wazi wazi ilikuwa haitaji ata ushauri kujua ili.hakuna make apo.Nilishaomba sana niende hata karibu na geti lao nimwone akasema baba yake ana supermarket nje ya geti anauza humo ni ngumu kumwona
Hahahaha, nimewamiss sana.Yaani usipotutaja sie basi siku yako haijakamilika.
Mganga wako kiboko....unateleza tu na nyota zetu.
Evelyn Salt anajiandaa na ndoa....hebu muache apumzike, tusije anguka madhabahuni bure kisa Konda wa bodaboda
wiki tatu hazijakamilika, tangu tar 17 sept 2016We unajua nimeingia lini humu? Au we ndo mgeni
Nyambafu zake huyo tapeli ,hivi kweli Tanzania hii kuna kibinti ambacho hakijawahi kupanda bodaboda?.Bodaboda anasema hajawahi kupanda na huko aliko ziko mbali ila ana namba za taxi dreva tu
We mwenyewe unakamuliwaga Sana tumwambie apande boda boda utalipia akifika
tax itakaa foleni asijione anajua sana hela kulijo benki
Unaweza kuwa na ID nyingi lakini unapopresent issue kwa ID inayokushtaki hatuangalii zile ulizobana, tunaangalia uliyotumia ndo inakushtaki. Wewe mwenyewe kwenye maelezo yako unavyojibu wanaokuuliza, yaonekana ni mgeni kabisa jijini na yawezekana ndo umeanza kazi. Kuwa mkweli kama unavyodai picha zako za kanisani. Kanisani mnaenda kusali au kuchukua ukodack?Kuna watu weng sn hum sasa nikwambie,mtu mmoja ana ID hata 3 au 4,hivi unafikiri hata ww hiyo id uloweka ni jina lako halisi?
Huku hakuna limit ya kuwa na Id hata 10 unakua nazo na wengi unaona kibao kumbe mtu mmoja yuleyule