Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Kaka mwambie achukue tax utalipia ww ukituma hela ataanza mama amelazwa cwezi kuja Mara nimefiwa sabb zitakuwa mia
 
Miezi kadhaa nilipost hapa nikitafuta mchumba wa kuoa

Nikapata kama wadada wawili,ktk kuchuja kwangu nikampenda mwenye rangi nyeupe maana mwingine ni black,

Tumechat whatsapp kwa miez sasa bila kuonana lkn tunatumiana picha mbalimbali aidha tupo kazini au nyumbani,

Jana tulipanga appointment ya kuonana na mimi nisingeweza kumfata aliko ila akaomba nimtumie elfu 50 achukue taxi mpaka nilipo,

Sasa nipo dilema najiuliza hivi nitume kweli 50 au niache maana moyo una 6 au ni mhuni maana?

Hapa mjini!
MIMI BINAFSI SITUMI HATA SHINKUMI....TUKIONANAN LABDA NDO NAWEZA MPA HIYO HELA.....TENA KWA HIARI N AKWA MIMI HAIFIKI 50
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom