mfate basi weweKwangu ni pesa ndefu mno hiyo
Hahahhhh mtaje Misskwanini usimfate mbona wanaume mnapenda mambo rahisi sana,kuna mmoja aliniambia eti atachukua chumba hotelini tukaongee humo .kuna watu wanautani sijui roho mbaya? tena yupo humu akinisoma ataelewa

watu wapo kingono tu sioni hata haja ya love connect mtu hata unashindwa kumuamini mtu huku .hujui mpigaji ni yupi na alieserias ni yupiHahahhhh mtaje Miss![]()
Apa ulipo ushamdhalilisha sanaSiwez kumtaja nitakua ndharirisha sn bora aone tu hivi ajifunze kumtaja itakua murder case
Kweli aiseewatu wapo kingono tu sioni hata haja ya love connect mtu hata unashindwa kumuamini mtu huku .hujui mpigaji ni yupi na alieserias ni yupi
Hasira mtumie yeye sasa akufuate tehmungu Mkubwa mm sijawahi kukutana na machola hadi kuona elfu 50 ni pesa nyingi, tho siwezi kukosa nauri. ila wewe kaka bahili unashindwa kutuma 50? dah what kind of a man? aibu

basi kama hataki umfate hyo tapeli achana naeHataki mi nimfate
shost ngoja nijipikie madiko ya hatare leo umbea naacha badae naenda zangu buchani mieKweli aisee
Alivyonitukania mama yangu siwez kuvumilia ila sijamtaja jina wala ID yake uzuri so aendelee kuugulia ukouko mi spendi mwanamke wa pesa fastafasta namna hiyoNdo tatizo la wanaume wa jf mkishindwana mnakuja kuanikwapole yako dada sijui unajisikiaje uko ulipo maskini wanaume wengine sio kulikua na ulazma gani wa kuja kuanikana
Mmmhhh watu ubinafsi na uchoyo tu what if ukamtumia na kweli akaja????Kivp maana sijala kitu chake mimi yy afanye tu awezavyo lkn mi tena bas nishamblock

Hasa wanaume wa DarNdo tatizo la wanaume wa jf mkishindwana mnakuja kuanikwapole yako dada sijui unajisikiaje uko ulipo maskini wanaume wengine sio kulikua na ulazma gani wa kuja kuanikana

shost ngoja nijipikie madiko ya hatare leo umbea naacha badae naenda zangu buchani mie