luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
kwakweli mm imeniuma MTU kabisa ishu ndogo hivyo anaitangaza jf? mwanaume kweli? uapana huyu ni wakiume anaevaa suruali! coz nawaza kama hawezi Ku handle ishu ndogo hivyo anaweza kweli kupanda ndege akamuone mchumba wake mikoani? wanaume fanyeni kazi bana hizi ishu ndogo hatuwezi kufikaHapa sio swala la ubahili mkuu...
Jamaa ameshindwa kumaliza issue ndogo hii kwa hekima na busara.
Hapa alipo anza tu kwamba walikua wakitumiana picha, kiajua tayari kijana alituma picha kwa kutaka sifa.
Alafu.....
Kama ameshindwa kumaliza issue ndogo kama hii, je angekua mtongozaji kama sisi wengine ambao kila siku tuna zoza humu jf..![]()
na tunakutana na makubwa kuliko hili, hapo sindio angekua analeta threads za kipuuzi humu kila siku...
![]()
![]()
![]()