Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Hapa sio swala la ubahili mkuu...
Jamaa ameshindwa kumaliza issue ndogo hii kwa hekima na busara.
Hapa alipo anza tu kwamba walikua wakitumiana picha, kiajua tayari kijana alituma picha kwa kutaka sifa.
Alafu.....
Kama ameshindwa kumaliza issue ndogo kama hii, je angekua mtongozaji kama sisi wengine ambao kila siku tuna zoza humu jf.. na tunakutana na makubwa kuliko hili, hapo sindio angekua analeta threads za kipuuzi humu kila siku...
kwakweli mm imeniuma MTU kabisa ishu ndogo hivyo anaitangaza jf? mwanaume kweli? uapana huyu ni wakiume anaevaa suruali! coz nawaza kama hawezi Ku handle ishu ndogo hivyo anaweza kweli kupanda ndege akamuone mchumba wake mikoani? wanaume fanyeni kazi bana hizi ishu ndogo hatuwezi kufika
 
Wewe ulokole wake haunaga nafasi kwenye suala la pesa.huyo ni muhuni kama wahuni wengine tuu.na nimwizi pia.ila kutengeneza historia si mbaya...nisehemu ya kujifunza pia.anyway we tuma kwa leo,ili siku nyingine ujifunze.....jpl njema mkuu.
 
Miezi kadhaa nilipost hapa nikitafuta mchumba wa kuoa

Nikapata kama wadada wawili,ktk kuchuja kwangu nikampenda mwenye rangi nyeupe maana mwingine ni black,

Tumechat whatsapp kwa miez sasa bila kuonana lkn tunatumiana picha mbalimbali aidha tupo kazini au nyumbani,

Jana tulipanga appointment ya kuonana na mimi nisingeweza kumfata aliko ila akaomba nimtumie elfu 50 achukue taxi mpaka nilipo,

Sasa nipo dilema najiuliza hivi nitume kweli 50 au niache maana moyo una 6 au ni mhuni maana?

Hapa mjini!
asante kwa stori ya UWONGO
 
kwakweli mm imeniuma MTU kabisa ishu ndogo hivyo anaitangaza jf? mwanaume kweli? uapana huyu ni wakiume anaevaa suruali! coz nawaza kama hawezi Ku handle ishu ndogo hivyo anaweza kweli kupanda ndege akamuone mchumba wake mikoani? wanaume fanyeni kazi bana hizi ishu ndogo hatuwezi kufika
Kazi tunafanya lkn punguzeni speed nyie wanawake
 
Wewe ulokole wake haunaga nafasi kwenye suala la pesa.huyo ni muhuni kama wahuni wengine tuu.na nimwizi pia.ila kutengeneza historia si mbaya...nisehemu ya kujifunza pia.anyway we tuma kwa leo,ili siku nyingine ujifunze.....jpl njema mkuu.
Nyie tafuteni tu wachumba humu ila mi nimenyoosha mikono
 
Kama uliwah kumpata mtu akakutumia 50 ya nauli ya taxi kutoka hapo ulipo na kwenda km 3 tu i swear atakua labda ni mwanamke sio mwanaume huyo
nilitalajia uje na Uzi usemao hivi! wanawake mnajishusha thamani, aliniomba 50 elfu ya nauli, kwa umbali wa km 3, kwa dharau nikamtumia kumpima ,cha ajabu akuja!

kwa Uzi kama Huu ningekutunuku jina la " mr gentleman"

kuwa gentlema haiitaji phd
 
Mida bado
Haya jiandae Azana inakaribia. Msaidieni mwenzenu elfu 50 amwone mchumba wake. Kajoin 17 septl 16, kaanza kudate miezi kadhaa anadai ana ID nyingi. Nimemwambia sisi tunaangalia uliyotumia kupost kilio chako.
 
Haya jiandae Azana inakaribia. Msaidieni mwenzenu elfu 50 amwone mchumba wake. Kajoin 17 septl 16, kaanza kudate miezi kadhaa anadai ana ID nyingi. Nimemwambia sisi tunaangalia uliyotumia kupost kilio chako.

Mwache huyo naye analaumu alipoangukia!mwanga wote huu panataka tochi hapo
 
nilitalajia uje na Uzi usemao hivi! wanawake mnajishusha thamani, aliniomba 50 elfu ya nauli, kwa umbali wa km 3, kwa dharau nikamtumia kumpima ,cha ajabu akuja!

kwa Uzi kama Huu ningekutunuku jina la " mr gentleman"

kuwa gentlema haiitaji phd
Uko vzr kimawazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom