Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Ndoma mim mambo ya mitandao tuishiage tu kuchat,haya mambo ya kudharirishan humu hapan kwakweli,mimi nafikiri kulikuw hakun haja ya kuomb ushauri sbb ushaona ni kombora,na kingin usha mbrck sasa maamuz ushaya fanya mwenyew lbda uje na thread ya kutushaur kwa mambo uliyokuta nayo,ndoman huwa na kwepa san inbx,mpk nikupe namb yang ujue nimekuheshim sana
 
shida hiyo naish mbez
Ila Mkuu Post yako haikuonesha Yeye Anaishi wapi na wewe unaishi Wapi ili tupige hesabu vyema!!! Na pengine nae alikuwa anakupima uwezo wako wa kubargain ili ajue ni mume wa aina gani huoni hapo pia umeshindwa?
 
Mkuu.....
Kama ingekua mimi ndio wewe, basi kwa style hii ningekua nimeanzisha thread nyingi sana kuhusu wadada wa humu Jf.
Kiukweli haujafanya poa sana, kama kweli ulimpata huyo mdada humu Jf, hapakua na haja ya kuja kuanzisha uzi wa hovyohovyo namna hii aiseeee.... hii inaonyesha jinsi ulivyo na ubongo wa kuku, maana issue ndogo kama hiyo umeshindwa kuimaliza mwenyewe hadi uje uanzishe uzi humu..
Sasa ukiweza kumiliki mwanamke ndani, si ndio utakua unashindwa tatua matatizo ya ndani na kisha kuyaleta humu jamvini kila kukicha..

Ohhh. I am glad kuna mtu mwenye akili yangu kuhusiana na mada kama hii.

Its nonsense mtu kutegemea majibu kwa Jamii Forums hasa katika topic kama hii. Kwa akili ndogo kama hiyo kila siku mtu hatakosa thread ya kufungua.
 
Ndoma mim mambo ya mitandao tuishiage tu kuchat,haya mambo ya kudharirishan humu hapan kwakweli,mimi nafikiri kulikuw hakun haja ya kuomb ushauri sbb ushaona ni kombora,na kingin usha mbrck sasa maamuz ushaya fanya mwenyew lbda uje na thread ya kutushaur kwa mambo uliyokuta nayo,ndoman huwa na kwepa san inbx,mpk nikupe namb yang ujue nimekuheshim sana
Unachosema ni sahihi maana mpaka dakika hii nishapokea text za matus kama 112 kutoka namba tatu tofaut na anadai ni mlokole hivi kwann na mimi nisimharibie yan mpaka ananitukania mama yangu kbs asee siwez kuvumilia
 
Hiyo nimekwambia wewe kwa kukuonea huruma unvyojiingiza kwenye mapenzi bado ujajipanga hata 50 inakusumbua maskini ya mungu na ushamblock mtt wa watu..nitumie io namba mimi..
Laiti ungekuwa unajua mtu unayenwambia hayo ni mtu ambaye si wa rika lako Hilo, na tumeyapitia yote hayo, so ninawapeni ushauri tu vijana,Mimi si wa level yako. Ila kama utachukua ushauri chukua, kama unaacha acha.
 
Unachosema ni sahihi maana mpaka dakika hii nishapokea text za matus kama 112 kutoka namba tatu tofaut na anadai ni mlokole hivi kwann na mimi nisimharibie yan mpaka ananitukania mama yangu kbs asee siwez kuvumilia
taja ID yake na usipomtaja tunakugeuzia kibao humu
 
Unachosema ni sahihi maana mpaka dakika hii nishapokea text za matus kama 112 kutoka namba tatu tofaut na anadai ni mlokole hivi kwann na mimi nisimharibie yan mpaka ananitukania mama yangu kbs asee siwez kuvumilia
Wanatumia kimvuli cha mungu kukwepa maovu yao,usimjibu jibu la mjinga ni kumkalia kimya,yote hasira y elfu 50,alafu kingine mapenz ya social ntwrk kudumu asilimia chache,nafikiri ungekuwa n subira tu ungepata uyo unayemtaka,lkn kwa humu kaka yangu utajichosha ishia tu kuchat nao maan kila mtu ana tabia yake,japo wote sio wabaya
 
Vijana wa kisasa, mnapenda sana kulalamika aiseeee.....
Ninyi ndio hasa mnao shusha heshima yetu wanaume humu Jf
Bora iwe hivo,tunatofautiana sn kiuchumi,kama huwa unatumaga 50 ni ww lkn mimi siwez maana huo uwezo sina kama naaibisha pia haileti doa llt kwako lkn nilitaka nitoe somo kwa huyu bint asirudie kupenda pesa upendo hana
 
Mmh hapo chacha, na hivi umemuandika humu, hata hivyo miezi uliochat ni mingi kiasi kuwa asingekuomba hiyo hela, mie nafikiri mngekutania kwenye maofisi yenu, kwanza na marafiki zenu wawatambue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom