Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Kweli kabisa alaf mambo ya kudhalilishana jf ndo yapo sana
Mkumbuke sijataja mtu wala sijataja ID ya mtu humu please tuwe wapole mi nimetukaniwa hadi mamaangu na namba ngeni baada ya kuchelewa kutuma hiyo pesa so msinihukumu mapema ivo
 
NYIE AKINA NANI MPAKA MTUSABABISHIE HASARA
HALAFU WANAWAKE ALIE WAAMBIA WANAUME ( BOYFRIEND) wako SAWA NA BABA YAKO NANI? UMEPENDEA LEO UNATAKA KILA KITU ULICHOEAHI KUKISIKIA DUNIANI UWE NACHO HOW COMES??
Bora,asante kwa msaada
 
Mmmhhh watu ubinafsi na uchoyo tu what if ukamtumia na kweli akaja????
tatizo kipato kaka kun amtu elf 50 ni issue wakati wengine ukiomba elf 50 anaongeza na sifuri juu inatumwa laki tano. hapa zimekutana team mbili tofauti man u na jkt ruvu .ni pale jkt ruvu inapoitwa na man u wakacheze uingereza .mechi itakuwepo kweli ila ni majanga kwa jkt ruvu hyo gharama sio?
 
mwambie akodi tax then utamlipia akifika tu, atakukuta stend pale pale linaposimama.
 
Mwambie akifika utalipa. Pia unajuaje kama picha anazo post ni zake labda za rafikiake. Akifika utalipa. Mjini kumbuka
 
Huyo hakufai anapenda maisha ya juu, au ulimdanganya kuwa wewe ni manager?
Mi mfanyakaz mdogo mno na analijua hilo wala sina njaa kias hicho cha kushindwa kumpatia 50,lkn kaanza vby mno
 
Nilimpata humuhumu,ila anisamehe tu amegusa parefu mno
mkuu mbona unajikanganya inaonekana jamiiforum huna ata wiki tatu,halafu unatuambia ulimpata humu humu jf na umechat nae kama miezi hivi,naomba ulitolee ufumbuzi hili suala..?
 
Mwambie akifika utalipa. Pia unajuaje kama picha anazo post ni zake labda za rafikiake. Akifika utalipa. Mjini kumbuka
Mi ata sina ham ya kumwona tena,alipoona nimechelewa kumtumia pesa akaanza kutuma text za matus hadi kanitukania mamaangu ndo maana wala staki hata kumwona maisha yangu yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom