Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
wanawake tunapenda mteremko eti? mapenzi tunayo ila yaendane na kuwa spoiled ukijifanya kauzu utaishia tu kutumiwa picha
wanawake tunapenda mteremko eti? mapenzi tunayo ila yaendane na kuwa spoiled ukijifanya kauzu utaishia tu kutumiwa picha
Sio kwamba siwez kutuma hiyo pesa,tatizo lililojitokeza ni mimi kuchelewa kumtumia hiyo 50 akajua mi muhuni ndo akaanza kutuma meseji za matus na kunitukanatatizo kipato kaka kun amtu elf 50 ni issue wakati wengine ukiomba elf 50 anaongeza na sifuri juu inatumwa laki tano. hapa zimekutana team mbili tofauti man u na jkt ruvu .ni pale jkt ruvu inapoitwa na man u wakacheze uingereza .mechi itakuwepo kweli ila ni majanga kwa jkt ruvu hyo gharama sio?
Yani kilichobaki kutajana na majinaNdo tatizo la wanaume wa jf mkishindwana mnakuja kuanikwapole yako dada sijui unajisikiaje uko ulipo maskini wanaume wengine sio kulikua na ulazma gani wa kuja kuanikana
Bac imekula kwako,mchumba hupatiHata pkpk silipiii nimegoma na haitatokea tn
Mkuu tunaomba ufumbuzi ukishindwa ina maana ni uwongomkuu mbona unajikanganya inaonekana jamiiforum huna ata wiki tatu,halafu unatuambia ulimpata humu humu jf na umechat nae kama miezi hivi,naomba ulitolee ufumbuzi hili suala..?
Bila shaka ni Evelyn Salt huyo.
Yaani usipotutaja sie basi siku yako haijakamilika.Na kama sio yeye basi ni Madame B.
Kabla ya tarehe 17 sept. ulitumia ID gani na avatar ipi? Hii miezi unayoitaja ulikuwa hujawa member, ungewezaje kutuma post? Isije na wewe ni mwongo vile vile. Umember una Week, kupata mchumba mieze kadhaa, wapi na wapi?Wachumba nitaenda kijijini kusiko na taxi wala bajaji huku mjini balaa