Asante kwa ushaur mzr nimejifunzaWanatumia kimvuli cha mungu kukwepa maovu yao,usimjibu jibu la mjinga ni kumkalia kimya,yote hasira y elfu 50,alafu kingine mapenz ya social ntwrk kudumu asilimia chache,nafikiri ungekuwa n subira tu ungepata uyo unayemtaka,lkn kwa humu kaka yangu utajichosha ishia tu kuchat nao maan kila mtu ana tabia yake,japo wote sio wabaya
Uliomba mchumba hapa jf,mchumba amepatikana sasa kwa nini uogope matumizi? mtumie tu.Miezi kadhaa nilipost hapa nikitafuta mchumba wa kuoa
Nikapata kama wadada wawili,ktk kuchuja kwangu nikampenda mwenye rangi nyeupe maana mwingine ni black,
Tumechat whatsapp kwa miez sasa bila kuonana lkn tunatumiana picha mbalimbali aidha tupo kazini au nyumbani,
Jana tulipanga appointment ya kuonana na mimi nisingeweza kumfata aliko ila akaomba nimtumie elfu 50 achukue taxi mpaka nilipo,
Sasa nipo dilema najiuliza hivi nitume kweli 50 au niache maana moyo una 6 au ni mhuni maana?
Hapa mjini!

Hakuna somo wala fundisho ulilo toa kwa huyo mdada kwa style hii aiseeee.....Bora iwe hivo,tunatofautiana sn kiuchumi,kama huwa unatumaga 50 ni ww lkn mimi siwez maana huo uwezo sina kama naaibisha pia haileti doa llt kwako lkn nilitaka nitoe somo kwa huyu bint asirudie kupenda pesa upendo hana
swala.Jaman twende taratibu ugomvi wa nini wakat tunashaurina tu hakuna aliye mkamilifu,leo kwangu kesho kwakoLaiti ungekuwa unajua mtu unayenwambia hayo ni mtu ambaye si wa rika lako Hilo, na tumeyapitia yote hayo, so ninawapeni ushauri tu vijana,Mimi si wa level yako. Ila kama utachukua ushauri chukua, kama unaacha acha.
Muongo Huyo!Anasema hana pesa
wanaleta njaa!Ndo wanaharibia wenzaoWamezid kwakweli japo mtu unataka kuoa ndo unakutana na matumizi makubwa kias hiki je ukioa sasa si ndo balaa zaid
Ndo wanaharibia wenzao
Mtu anaona jf wote matapeli kumbe wapo wastaarabu!