Nimeoa single mama

Nimeoa single mama

Kibenten? Sionagi kama na akili sawa. Vibenten ndio nyie mnategemea kipato cha mwanamke?. Nyie ni mtu na mjombaake na mashoga

Any way ungekuwa ni mwanaume halisi ningekushauri huyo mtoto usimuache mkaishi nae. Utakuja kunishukuru baadae. Watoto wa aina hiyo mara nyingi wanakuwa wakombozi kwa aliemlea (japo unapomlea mlee kama mwanao usitegemee fadhila)

Huyo mwanamke nae hayuko sawa. Ndio maana alitemwa. Utampendaje kibenten?
 
Yani umewaacha wanawake wengine ,,hasa huyo uliemdanganya unamuoa akubebee mimba amebeba mimb yako umemkataa na kumuacha na mimba yake analia tu umeenda kuoa single mother ,,siyo mda utakua kichaa ww malipo ni hapahapa dunianj
 
Yani umewaacha wanawake wengine ,,hasa huyo uliemdanganya unamuoa akubebee mimba amebeba mimb yako umemkataa na kumuacha na mimba yake analia tu umeenda kuoa single mother ,,siyo mda utakua kichaa ww malipo ni hapahapa dunianj
kumbe upo na huku,,,, nisamehe kwa niaba ya wana jf wote. na nnabadilisha ID kutoka sasa.
 
Hii ya kuroga sio single mother pekee ake, hata hawa ambao hawajaolewa ila mile zimesogea, wakiangalia mapenzi ya kwenye TV basi wanatamani iwe hivyo hata kwake basi wanaona mbinu pekee nikuturoga tu. Daaah
Wa kwenye ndoa wanaturoga na michepuko wanaturoga dah kuwa mwanaume ni neema kubwa saanaa
 
Mkuu ni makubaliano tu sio lazima watoto kupelekwa kwa bibi
 
Moende na mwanae tena mpende kuliko yeye utakuja nishukuru,
Kitu chochote kikizidi kinakuwa unafiki, hata upendo ukizidi unakuwa unafiki. Penda pale upendo wako ulipofikia. Mapenzi hayalazimishwi.
 
Kuna uzi uko humu walolelewa na mama tu wametitirika balaa hadi huruma mama zao walivyopigana hadi wamefika hapa..ajabu humu wanachamba na kujiona bora
What are you trying to justify yaani?
Maana mama zetu wenyewe ndio hawataki kusikia kabisa hivyo vitu. Pia Kulelewa na mama peke yake haimlazimishi mtu na yeye afanye kumuoa single mom. Mtu kama hataki sasa nongwa nini, mbona wanawake wametoka kwenye familia masikini na duni lakini hawataki kuolewa na wanaume masikini. Usitumie hisia zako kumpangia mwanaume maisha yake, wanaume wanakataliwa na kusemwa na wanawake kwa mambo mengi sana ya kijinga tena yasiyo na tija mbona hakuna aliyemforce au kumchukia mwanamke kwahivyo vitu. Waache watu waishi wapendavyo, wewe sio Mungu au mwenye hekima zaidi.
 
Kila la kheri mkuuu muuuonye tu kuwa endapo itatokeaa una mawasilino ya Siri Siri au ya wasiwasi bas ajinandaee kwa lolote utakolo mfanyia


Zaid pia kamchukue mtoto yule Bado mmddgo
 
What are you trying to justify yaani?
Maana mama zetu wenyewe ndio hawataki kusikia kabisa hivyo vitu. Pia Kulelewa na mama peke yake haimlazimishi mtu na yeye afanye kumuoa single mom. Mtu kama hataki sasa nongwa nini, mbona wanawake wametoka kwenye familia masikini na duni lakini hawataki kuolewa na wanaume masikini. Usitumie hisia zako kumpangia mwanaume maisha yake, wanaume wanakataliwa na kusemwa na wanawake kwa mambo mengi sana ya kijinga tena yasiyo na tija mbona hakuna aliyemforce au kumchukia mwanamke kwahivyo vitu. Waache watu waishi wapendavyo, wewe sio Mungu au mwenye hekima zaidi.
Hueleweki...au hukunielewa kwaheri
 
Hueleweki...au hukunielewa kwaheri
Sista umeelewa, don't justify your ideas of how should men live kwakutumia wazazi wetu. Kila mtu aishi apendavyo, wewe sio mwenye hekima zaidi ya wote. Kwaheri Mrs Lissu.
 
huwa hawasiliani nae tangu mimba ikiwa na miez mitano jamaa alisepaga , kweny mawasiliano sijawahi kumwona anawasiliana nae,,pia kwa sabab mtoto hatukai nae atakuwa anampigia bibi ake kumuulizia habar za mtoto.
Hongereni sana
 
Afu siku hizi wanaloga na kuloga sasa hiii hii hatari babaa
Hawa watu si wa kuwaamini maana baada ya kuachwa huwa hawaamini tena wanaume hivyo akikupata lazima akutengeneze mapenzi ya bongo movie
Hapo kwenye kulogwa hachomoki

Akichomoka ujue huyo dogo wa single Maza tayari kamaliza chuo kikuu na kazi amepata.
 
Back
Top Bottom