Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,672
- 4,560
Nitamuoa endapo sharti hapo juu litazingatiwaNa mnaosemaga hivi ndio mnakujaga kuwaoa na kuwapenda sana
Usitukane mamba kabla hujavuka mto
Nitamuoa endapo sharti hapo juu litazingatiwaNa mnaosemaga hivi ndio mnakujaga kuwaoa na kuwapenda sana
Usitukane mamba kabla hujavuka mto
Ila single mother nyingi ni pisi Kali balaa! Acha afurahie maisha.Yaani watu wengine wamezaliwa na mikosi kwa 29yrs unaoa single maza eti ananipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuloga
Duuh!baba ya mtoto akisikia mama mtu kaolewa ndio atajitokeza sasa. Na na tunda atapewa tena.😂
kupeana mizigo tu bora mzgo wangu so wa mtu mwingineSiwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Zitakuwepo safari za Mama kwenda kumjulia hali mwanaye,usiombe baba ya mtoto awepo.Atakufa vibaya huyu aloooh! Kosa kubwa sana kumtenga huyo mtoto wa single mother, baby dady akirudi tu wanaunganisha familia
Kwani uongo mtopolo, hadi mtu kumzalia ni mapenzi ya dhati aliyokuwa nayo.Duuh!
huwa hawasiliani nae tangu mimba ikiwa na miez mitano jamaa alisepaga , kweny mawasiliano sijawahi kumwona anawasiliana nae,,pia kwa sabab mtoto hatukai nae atakuwa anampigia bibi ake kumuulizia habar za mtoto.Shida ni mawasiliano kuendelea na huyo baba wa mtoto,tumekaa nahudumia familia halafu inapigwa simu na mwanaume kuulizia hali ya mtoto ,ndiyo maana nasema kama sijaliona kaburi la baba yake na mtoto siwezi kuoa single mother.
Ya Mungu ni mengi sana ngoja nituliekupeana mizigo tu bora mzgo wangu so wa mtu mwingine