FineOnce
Senior Member
- Dec 1, 2016
- 138
- 230
Duh!!! "tenda wema nenda zako mkuu". nafikiri usemi huu una-apply ktk maisha yako...Kuna mwanamke mmoja nilimpa mimba then tukaachana time nampa mimba alikuwa kamaliza form six so mwaka wa kwanza chuo alisoma akiwa na mimba
Nilihudumia mimba mpaka mtoto akafikisha mwaka mmoja then akapata bwana mwingine alichokifanya aliniambia Yule mtoto sio wanguna mtoto Nina fanana nae kila kitu akakataa matumizi yangu nikala block pote
Now huyo demu ni lecture mkwawa na mme wake ni engineer TANROAD ndoa yao ina miaka 5 sasa
Mwanangu Sijawai kumuona tena na mm life limenipiga hata mtaani mpaka kutapeliwa na jamaa wa ikulu aliniambia nimpe hela anipeleke MSATA nikawe mwanajeshi![]()
But kuna stori scenario moja nimewahi kuishuhudia kijijini kwetu wakati ndiyo nakua. Kwa jirani yetu kulikuwaga na kijana mmoja hivi wa rika letu. Huyu kijana alikuwa hafanani hata chembe na Baba yake bali alikuwa anafanana na mzee mwingine kutoka kijiji cha pili yaani kopi hasa wazungu waneseama.
Miaka nenda rudi ikasogea tukawa tumepotezana kutokana na pirika pirika za maisha. Kumbe yule mzee wa jirani alioa mwanamke ambae tayari alikuwa na ujauzito ukiwa mdogo sana bila kujua na hatimae mke wake akaja akajifungua ndiyo yule dogo namzungumzia. Baadae yule mzee alifariki na mtoto alipokuja kukua Mama yake ilibidi amwambie ukweli kuwa baba yake mzazi ni yule wa kijiji cha pili. Hivyo yule kijana ilibidi aende kuishi kwa baba yake mzazi na wala hakusita kwa sababu alifanana sana mzee huyo pamoja na watoto wake.
Hivyo, huwezi jua hata kwako inaweza ikatokea badae mtoto akakutafuta mwenyewe, c unajua mahusiano haya yana siri kibao ambazo wakati mwingine mahusiano yakivurugika, kwa wenzetu wasiokuwa na vifua inaeza pelekea mtoto/ watoto kujua siri hizo na kuchukua maamuzi mengine....

