Nimeoa single mama

Nimeoa single mama

Kwanza inawezekana we niben ten kweli,hakuna namna we vumilia tu si ndo anakupea vijihela hela vya kununua sabuni
 
Sasa unadhani huyo mtoto ataishi kwa bibi yake milele ilihali mamaye yupo hai?
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
.
"nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana"

Single Mother? Anaweza kuwa muigizaji sana kwa sababu jamii ya waowaji haiwakubali sana.

Amekujulia tu, na utakuja kujuta sana, ni swala la. Mda tu, wewe bado mdogo for 29, ungetafufu mwanamke mwingine.
 
Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake

Mbona haya maneno ni kama sheria

Wote wako hivyo mpaka wakiwa single mother wakitaka olewa wanabadilika kuwa bongo movie ili waolewe
 
Ukikubali kuoa single mom ujue utalea mtoto wake kwa hiyo usijidanganye kuwa anakupenda, ili single mother akupende nawewe penda mtoto wake na ishi na mtoto wake
 
Hapa mzee umechemka

Kumbuka nusu ya vinasaba vya mtoto hutoka kwa mama.

Kifupi Mume hutoa XY na Mke hutoa XX
Ili aundwe mtoto inatakiwa single DNA filament itoke kwa baba na nyinge itoke kwa mama ili mtoto akamilike.

Hivyo watoto wanaozaliwa tumbo Moja na mbegu toka kwa Wanaume tofauti basi jua hawa huwa Wana relate kwa 1/2 na Ile nusu hawahusiani kabisa.

Ndio maana Wazungu wanasema half brother au half sister wakijua only their connection is 1/2.

Wanakuwa ndugu ila sio complete na tatizo jingine mayai yenyewe Yana vary kwenye genetics zao.

Bila kujali phenotype za hao offsprings zilivyo
Mimi Nikioa single mama,
Nikakataa watoto wake kuishi nao ninayenda kinyume na sheria ya jamuhuri?
Tena nikazuia hata watoto wangu wa kuwazaa nae kufahamiana na watoto wake wa mwanaume mwingine ni Kosa kisheria.
 
Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Noma sana!
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
We oa baba, kula vitu...furahia dunia...singo mama aka singo parent ni watu sawa na mabikira.
Narudia kula vitu na usisikilize mtu
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
hongera hata sisi wengi tumeoa single mather sema wakwetu hawakunyonyesha watoto wawili walikufa kwa kujitakia
nakushauri chukua huyu mtoto ulee tu hutapungukiwa na kitu na atakuwa lango la baraka kwako fanya chap usichelewe watu watakucheka lakini utakachopata wao hawakijui.
wako watu waligoma kuwatunza hao watoto na sasa ni watu wakubwa sana na baba anaona aibu kwa msaada anaopewa nafsi inasikitika usikubali hii.
 
Daaah wanawake wanapata ujasiri gani wa kukubali kuolewa na mwanaume ambaye hampendi mtoto wangu. Mama unapataje usingizi mtoto wako anakaa huko tena wa miaka 2.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom