Yeah!
Ila Kwa upande wa Mama ni ndugu wanaoweza ku-share baadhi ya features Kama kufanana kama wanafanana na Mama Yao lakini linapokuja suala la mzizi au asili hawawezi itwa ndugu na hapa tunazungumzia vinasaba(DNA).
Ndio maana hata watoto wako hawezi kwenda kudai Urithi Kwa Baba ambaye amezaa na wewe kwani sio Baba Yao.
Muhimu kuliko yote.
Kama maisha yanaongozwa na Upendo zaidi.
Mtu Kama ameamua kuishi na mtu mwingine msingi Mkuu uwe ni upendo, alafu akili, na kufuata sheria za Asili na za jamii.