Nimeoa single mama

Nimeoa single mama

Yaani watu wengine wamezaliwa na mikosi kwa 29yrs unaoa single maza eti ananipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuloga
Watu mnamaneno ya shombo humu, eti kwamba ana mikosi kisa tu kaoa single maza. Mie hata leo ikitokea la kutokea labda nimefikia muda natakiwa kuoa upya nitaoa single mother. Hawa watu wana akili sana kwenye maisha.
 
Chukua hyo mtoto kaa nae tengeneza mazingira mazuri na nduguo wajao usifanye mtoto akikua aone wewe ndo sababu ya yeye kutolelewa na mama ake pia mtoto hyo ni mdogo 2yrs anawez kukuacknowledge wewe kama baba ake haya ni maisha unaeza mtenga na akawa tegemeo lako hapo baadae kwa nduguzo
hadi saiv ananitambua kuwa mi ndo baba ake,naongea nae na ashatambulishwa kuwa mi ndo baba ake,ila aliambiwa akae na bibi ake tu
 
Hata kama mtoto sio wako angalia maisha anayoishi huko.Je ni yakumtelekeza? Ukipenda UA penda na boga lake..Kuna siku huyo mtoto atamwitaji mama au walezi wa mtoto hawapo . Je utakuwa tayari kuishi nae? Au ndio mtamwangamiza kama tunavoona visa kadhaa...NI NGUMU KUTENGANISHA BIND YA MAMA NA MTOTO ...angalia Hilo pia utafakari...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
maisha anayoishi ni mazuri kuliko hata tunayoishi sisi,,
 
Mwaka 2021 kidogo nijichanganye niowe single mother ,,, ila alitaka kujichanganya mapema kunipanda kichwani.......nisipompigia simu siku nzim au kutuma sms atapiga simu huyo missed call 100 na nisipopokea anatuma sms ndefu kama gazeti😂😂😂😂......nilimpiga chini kimyakimya
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Ungefanya vyema sana endapo ungemchukua mtoto wake na kumpenda kwa dhati. Hapo umempenda dada nusu na nusu yake ipo kwa mama yake.ile nusu kwa mama yake inaweza kupendwa na baba mzazi mwishowe inaleta connection kwa mkeo. Ni bora ufanye maamuzi kumpenda na mwanae hutojutia.
 
Kweli mtalaka hatongozwi ila hamna namna, fuata moyo wako maana hata fresh kama hana misimamo nae anamegwa
 
Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Punguza ukali bana
 
Back
Top Bottom