Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,284
- 4,330
Yaani watu wengine wame zaliwa na mikosi kwa 29yrs una oa single maza eti ana nipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuroga


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu wengine wame zaliwa na mikosi kwa 29yrs una oa single maza eti ana nipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuroga


Yaani watu wengine wame zaliwa na mikosi kwa 29yrs una oa single maza eti ana nipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuroga

Sijaelewa ulichoandika. Naona hakihusiani na nilichokiandika. Nachomaanisha mimi ni kuwa watoto waliozaliwa kutoka kwa mama mmoja hao ni ndugu kiasili na kisharia.Jidanganye hapo.
Siku ijulikane wewe sio mtoto wa huyo Baba hapo ndio utajua hujui.
Usiishi Kwa kujidanganya au kujifariji hata kama mambo mengine sio uhalisia.
Au kama wewe ni mwanaume subiri Mkeo akuambie mimba aliyoibeba sio yako ndio utaelewa. Vizuri.
Hata kisheria hiyo iko hivyo
Anakuvuruga tu. Watoto unaowazaa wewe hao ni ndugu wa damu kabisa wao kwa wao. Waswahili tunasema ni ndugu wa mama mmoja. Ni uterine brothers (uterine siblings).Ila ni kama anasema kweli hivii 😆😆
Anakuvuruga tu. Watoto unaowazaa wewe hao ni ndugu wa damu kabisa wao kwa wao. Waswahili tunasema ni ndugu wa mama mmoja. Ni uterine brothers (uterine siblings).
Umeliona kaburi la baba wa huyo malaika

hawa hawahudhurii vikao. Mihtasari wanapata...lakini hawasomi haw. Atakuja kulala humu...wewe ngojea

Yaani watu wengine wame zaliwa na mikosi kwa 29yrs una oa single maza eti ana nipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuroga



Tatizo sio mtoto...tatizo huwa mnarudi au kuchepuka na mliozaa nao mwanzo....akili zenu mnazijua wenyeweSiwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake



Peleka malalamuko kuleeee👉👉Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Peleka malalamuko kuleeee![]()
Hapa mzee umechemkaHawawezi kuwa Ndugu.
Na kamwe huyo mtoto hawezi kurithi lolote Kwa huyo Baba labda wafanye upendeleo tuu.
Tumbo moja haikufanyi uwe ndugu na mtu. Kumbuka tumbo la mwanamke ni sehemu ya muda ya kumhifadhia mtoto na sio chanzo cha mtoto.
Inaweza chukuliwa mbegu ya mtu yeyote ikawekwa ndani ya tumbo lako na mtoto akakua tuu.
Ndio maana kuna DNA








.Bro acha ujinga akili za maisha ukategemee za mwanamke tena single maza🤣🤣🤣🤣🤣Watu mnamaneno ya shombo humu, eti kwamba ana mikosi kisa tu kaoa single maza. Mie hata leo ikitokea la kutokea labda nimefikia muda natakiwa kuoa upya nitaoa single mother. Hawa watu wana akili sana kwenye maisha.
Mwanamme yoyotte kuoa single maza huyo akili zake fyatu🤣🤣🤣🤣Yaani watu wengine wame zaliwa na mikosi kwa 29yrs una oa single maza eti ana nipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuroga
Huyu jamaa akubali hapo tayari ameliwa kichwa.Ngoja akishakizalia na ww ndo utaona sasa hicho kitoto cha miaka mbili kinaletwa hapo na utaambiwa fukuza wote sasa wako na wangu .
Acha kubeep mzee apo umetegewa kabomu









Afu siku hizi wanaloga na kuloga sasa hiii hii hatari babaa😂😂😂Huyu jamaa akubali hapo tayari ameliwa kichwa.
Kwenye karata tatu, tayari kalamba chafu hivyo ajiandae kuwa punda wa dobi
![]()
Wee jamaa daahBro acha ujinga akili za maisha ukategemee za mwanamke tena single maza
Kwanza single maza hana akili maana aligegedwa pasipo kuwa kwenye ndoa na kama aliolewa na kuachika basi pia hana akili. Anafaa kwa matumizi ya nyege tuu![]()


?? Una dada mkuu au kwenu mmezaliwa midume tu?Hii ya kuroga sio single mother pekee ake, hata hawa ambao hawajaolewa ila mile zimesogea, wakiangalia mapenzi ya kwenye TV basi wanatamani iwe hivyo hata kwake basi wanaona mbinu pekee nikuturoga tu. DaaahAfu siku hizi wanaloga na kuloga sasa hiii hii hatari babaa
Hawa watu si wa kuwaamini maana baada ya kuachwa huwa hawaamini tena wanaume hivyo akikupata lazima akutengeneze mapenzi ya bongo movie
