Nimemzimia blackberry

Nimemzimia blackberry

Huyu BB nae vipi?..kwann hajitokezi atoe ushirikiano? BB pllzzzzzzzz kuja pande hii kuna mgongano wa maoni
Im here jamani nimependwa, kupendwa raha jamani asikwambie mtu sorry Manyanza nilikuwa tight sana leo ofisini niko live sasa
 
Ahsante Manyanza kwa kunizimikia maana raha ya uanamke kupendwa achana na maneno ya watu ooo dume mimi sio dume bwana ni mwanamke
 
HAPO BLACKBERRY UNAJIONA DHAHABU teh! Nadhan waruka ruka km BEBERU HAPO. Hongera kwa kupendwa na uce mjua, yawezakuwa jini au kaka poa teh (i joke)
 
HAPO BLACKBERRY UNAJIONA DHAHABU teh! Nadhan waruka ruka km BEBERU HAPO. Hongera kwa kupendwa na uce mjua, yawezakuwa jini au kaka poa teh (i joke) NIMECHEKA SANA!
 
HAPO BLACKBERRY UNAJIONA DHAHABU teh! Nadhan waruka ruka km BEBERU HAPO. Hongera kwa kupendwa na uce mjua, yawezakuwa jini au kaka poa teh (i joke)
\
Wewe Gagarito kuanzishiwa thread humu sio kitu cha mchezo hasa na Premium member! lol hahahahahaha narukaruka na mafile yangu hapa bado nipo ofisini
 
hivi umeishamueleza mkubwa umusikie anakwambia nini sisi ni ushauri lakini siyo jibu zuri unalolitaka
 
Hureee basi kina fulani wamenunaje? wakaliiiiiiiiii ndio maana hawaanzishiwi thread hongera BB umeanza vizuri
 
Ngojeni waamke wahusika Dina au Lizzy ipoje hii?
 
Jamani na mimi na mzimia LEHSIM kesho namjulisha rasmi
 
Ahsante Manyanza kwa kunizimikia maana raha ya uanamke kupendwa achana na maneno ya watu ooo dume mimi sio dume bwana ni mwanamke

Samahani my blackberry nilikuwa nakuangalia kila mara nikakukuta upo offline na mimi nikawa nimeshatoka ofisi saa 11 jioni hebu nipe maneno matamu mpaka wenye wivu wasage chupa wanywe.
 
Hureee basi kina fulani wamenunaje? wakaliiiiiiiiii ndio maana hawaanzishiwi thread hongera BB umeanza vizuri

Haswaa kuna watu roho zinawauma sitaki kuwataja ukitaka kuwajua anza kufuatilia mwanzo wa thread utawaona wenye vijiba vya roho
 
nimepagawa, sijuwi na mimi nimchaguwe nani nimuoe..............lazma nipate kuoa hum hum JF, SUBIRINI.....................
 
Duh kumbe mwendo wa kutafuta tu humu siku hizi? Ngoja na mimi nizunguke zunguke humu ndani ntapata tu
 
Ahsante Manyanza kwa kunizimikia maana raha ya uanamke kupendwa achana na maneno ya watu ooo dume mimi sio dume bwana ni mwanamke

Najua my BB watu wana miwivu humu we acha tu, na nikawaambia mimi sijakurupuka kukuzimia lakini wakawa wanabisha
 
Back
Top Bottom