Nimemzimia blackberry

Nimemzimia blackberry

Dah! Ngoja nimuulize Michelle mi niingie chumba namba ngapi labda atajitokeza.
 
Manyanza umechanganyikiwa, hope unataka fantansy na wewe!
 
Samahani my blackberry nilikuwa nakuangalia kila mara nikakukuta upo offline na mimi nikawa nimeshatoka ofisi saa 11 jioni hebu nipe maneno matamu mpaka wenye wivu wasage chupa wanywe.
Yaani mwenzangu na mie nimekuzimikia tangu ulipokuwa unanikaribisha na kunielekeza mambo mbalimbali, mie kipindi hiki niko tight sana ila muda si mrefu nitakuwa kila mara naingia humu.
 
We waache tu na wivu zao

Sasa let's reach the conclusion, maana mods washaanza kuchakachukua thread yangu wameitoa MMU wameileta Chit Chat na kesho wanaweza kuifunga. Ni PM basi ili nipate contact...
 
Sasa let's reach the conclusion, maana mods washaanza kuchakachukua thread yangu wameitoa MMU wameileta Chit Chat na kesho wanaweza kuifunga. Ni PM basi ili nipate contact...
He na wewe! kwani wewe pc yako hairuhusu ku PM
 
He na wewe! kwani wewe pc yako hairuhusu ku PM

Week end imeshaanza mama tunapata moja baridi moja moto, na ishu ya kukaa kwenye PC mpaka kesho tena hapa au J3 kabisa, but if you send me PM naweza kureply hata sasa kupitia mobile... Najua hii thread mpaka kesho itakuwa ishafungwa.
 
Week end imeshaanza mama tunapata moja baridi moja moto, na ishu ya kukaa kwenye PC mpaka kesho tena hapa au J3 kabisa, but if you send me PM naweza kureply hata sasa kupitia mobile... Najua hii thread mpaka kesho itakuwa ishafungwa.
mhhhhaya bana week end njema mie ni kujipumzisha tu.
 
Yaani mwenzangu na mie nimekuzimikia tangu ulipokuwa unanikaribisha na kunielekeza mambo mbalimbali, mie kipindi hiki niko tight sana ila muda si mrefu nitakuwa kila mara naingia humu.

Hahaa kumbe, ulikuwa unanizimia?? Sasa mbona hukunianzishia thread?
 
Back
Top Bottom