Sincere IndeedIt my sincere hope and very sincere indeed, that, JF aint a dating site!! - right?
It my sincere hope and very sincere indeed, that, JF aint a dating site!! - right?
khaa! wewe mrembo nani alikuficha?Well said mkuu.... point noted!
khaa! wewe mrembo nani alikuficha?
nilikuanzishia sredi lakini mods na majealous yao wakaidelete, yaani kipindi chote ulipotea nilikuwa hata raha ya oxygen sioni. tumeflahi kukuona tena.Mhhh...Kloro...hata kunitafuta jamani...unajua kama sio malaria, nawe ungesaidia kumtoa duki....🙂
Sasa wewe juzi ndio ukafanyaje??nilikuanzishia sredi lakini mods na majealous yao wakaidelete, yaani kipindi chote ulipotea nilikuwa hata raha ya oxygen sioni. tumeflahi kukuona tena.
nilikuanzishia sredi lakini mods na majealous yao wakaidelete, yaani kipindi chote ulipotea nilikuwa hata raha ya oxygen sioni. tumeflahi kukuona tena.
ankal uschafue CV bana! si unaona Keren Happuch amelejea. Ukifuja mbele ya Keren Happuch itakula kwako ujue, nina faili zako zote za tandale.Sasa wewe juzi ndio ukafanyaje??
ndio maana nakufagilia, yaani kabisa hausikilizi maneno ya pembeni. si unaona hapo juu kuna mlalahoi flani (jina kapuni) tayari anataka kuwasha redio, dozi yake ya milembe ilimaliza jana nazani leo anapata fahamu kwa miujiza ya mungu tuMhhh...Kloro!!!
Asante, nami nimefurahi...maaana najua Kloro akiwepo karibu, sikosi tabasamu usoni...🙂
Komredi wapi mwalimu Gaijin? nataka anifundishe Katiba bana na mimi nikatoe mchango wangu.khaa! wewe mrembo nani alikuficha?
Haahaa mkuu, hebu tafuta profile ya Blackberry anza kufuatilia kuanzia post yake ya mwanzo ambayo alikuwa anajitambulisha nilipost kama post 10 hivi. Nakupa homework mkuu tafuta hiyo profile.
ndio maana nakufagilia, yaani kabisa hausikilizi maneno ya pembeni. si unaona hapo juu kuna mlalahoi flani (jina kapuni) tayari anataka kuwasha redio, dozi yake ya milembe ilimaliza jana nazani leo anapata fahamu kwa miujiza ya mungu tu
heheh kamanda huyu mwalim hata mimi namtafuta, nimepata mrembo anajifanya mtaalam sana wa kiswahili, sasa yeye anataka hata ukimtongoza uweke nomino, paragrafu, kivumishi na kielezi katika mahala pake, adhawaizi anakunywa bia zako na kuondoka. nimehisi umuhimu wa kuonana na gaijin ili anipatie evening klass ya zaruraKomredi wapi mwalimu Gaijin? nataka anifundishe Katiba bana na mimi nikatoe mchango wangu.
bahati nzuri hela yake ya cafe imeisha, keshapotea.Hahahahah....hivi eee???!!!....hebu ninong'oneze.....asije kusikia.....
It my sincere hope and very sincere indeed, that, JF aint a dating site!! - right?
heheh kamanda huyu mwalim hata mimi namtafuta, nimepata mrembo anajifanya mtaalam sana wa kiswahili, sasa yeye anataka hata ukimtongoza uweke nomino, paragrafu, kivumishi na kielezi katika mahala pake, adhawaizi anakunywa bia zako na kuondoka. nimehisi umuhimu wa kuonana na gaijin ili anipatie evening klass ya zarura
Hello wana MMU!
sio kawaida yangu kuingia jukwaa hili na kuandika, kupost au kuchangia mada zinazokuwa hapa, huwa napita na kusoma tu...
ukiona leo mpaka nimefikia kuandika thread hapa basi kuna jambo limenikaa rohoni, sio siri wana MMU, kuna member anaitwa Blackberry ingawa sio mwenyeji sana bado ni mgeni hapa JF nimetokea kumzimia sana, japo sijui ana umri gani?, anaishi wapi? na marital status yake ikoje...
Please Blackberry... waiting for your reward response